TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

Asante mkuu, ila hapo kwenye kulala hapo utakuwa Sio Meditation hapo utakuwa unaitafuta astral projection.
Kulala ni Astra projection kukaa ndio una-meditate [emoji120]
 
Ukomo wa akili yko umefungwa na kitabu fulan
 
Issue ya upagan imekaa kisiasa Zaid hasa siasa za tawala za ulaya ya zamani ili kumaliza mfumo wa asili wa watu kumtafuta Mungu wao., Na kileta mfumo wao kiiman ili waweze kuwatawala watu kirahisi, kwa hlo neno mpagan kwa ww mtu ulie letewa din na wazungu umeliridhi bila kujua umelaaniwa kwa kumkataa Mungu wa baba zko na kufuata miungu ya kigeni ( meditation Ni Jambo la asili kabsa na Ni njia nzuri Zaid ya kuwasiliana na Mungu )
 
Yesu hakuwahi kuanzisha dini ya Aina yeyte yesu alihibir habar njema tu ambzo pia wahndu wa waislmu na wayahudi wanahubiriwa, ukristo ulianzishwa na tawala za Rumi Kama njia ya kuitawala dunia sema tu walimtumia yesu kma kigezo Ila Nia yao Ni nyingne
 
Pasco lakini mbona husemi ni wapi pameandikwa kuwa Yesu alifanya meditation?
Yesu alimwita Mungu pale msalaban amwepushe na kikombe hicho , then apo apo wewe una amini Yesu ndio Mungu mwenyewe dah wakristo tunadharaulika kwa kukosa maarifa , kwa taarfa yako ishara ya msalaba unayochorwa kwenye paji la uso wakati wakubatizwa Inahusu maswala ya jicho la tatu , yesu aponyi mtu kabsa yesu anachafanya nikufungua nguvu ya kiungu iliyo ndan yako kwa Iman then unapona , ndo maana alipenda kusema Iman yako imekuponya , yesu aliitambua tahajudi vizur na nguvu zilizopo ndan mwetu
 
Meditation is somethig very very powerful. Tuchangamkie fursa tujikomboe kiakili na kimwili pia
 
Kiislam, Tahajud ni salat ya kujitolea inayoswaliwa usiku wakati pametulizana.

Tumia google utafute neno "tahajud" utaielewa maana yake Kiislam.
Ustaadhat,hii tahajudi inayofundishwa humu ki-sharia ya kiislam inaruhusiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…