Taifa kuwa na Rais asiyeweza kudhibiti Ubadhirifu na Wizi wa Mali za Umma ni taifa linaloangamia na kupotea

Taifa kuwa na Rais asiyeweza kudhibiti Ubadhirifu na Wizi wa Mali za Umma ni taifa linaloangamia na kupotea

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Angalia raia maskini wanavyohangaika kulima kwa jembe la mkono na kulipa kodi na tozo kandamizi.

Angalia wavuvi ambao hawalali na familia zao wanalipa kodi na tozo kandamizi huku wakikesha majini na kuteseka.

Alafu mkuu wa nchi anakuwa dhaifu na kuacha pesa za umma zinaibiwa kama peremende kwenye duka la mhindi.

Mbaya zaidi ni kuwa Tv ipo Magogoni ila rimoti ipo Msoga.

Marais kama Julius Nyerere, Nkwame Krumah, John P Magufuli, Patrik Lumumba na Thomas Sankara watakumbukwa kwa kulinda mali za Afrika.
 
Angalia raia maskini wanavyohangaika kulima kwa jembe la mkono na kulipa kodi na tozo kandamizi.

Angalia wavuvi ambao hawalali na familia zao wanalipa kodi na tozo kandamizi huku wakikesha majini na kuteseka.

Alafu mkuu wa nchi anakuwa dhaifu na kuacha pesa za umma zinaibiwa kama peremende kwenye duka la mhindi.

Mbaya zaidi ni kuwa Tv ipo Magogoni ila rimoti ipo Msoga.

Marais kama Julius Nyerere, Nkwame Krumah, John P Magufuli, Patrik Lumumba na Thomas Sankara watakumbukwa kwa kulinda mali za Afrika
Sukuma gang mtahangaika mno ila nchi inasonga kwa kasi.
Na hamtakaa mpewe nchi tena
 
Waliamua kuajiri watu wao watoto wa vigogo , wacha wawaangushe, ukimuajiri mtu maskini hataibia serikali, angalau atakuwa na uchungu na nchi yake, ukimuajiri mtoto wa kigogo , ndo ataiba vizuri kwa sababu amekwishazoea pesa. Huu wizi Ni matokeo ya kupeana connection za wao kwa wao. Hatuhitaji mtu msomi saana kwenye hizo nafasi, tunahitaji mtu asiyeweza kuiibia serikali. Period.
 
Angalia raia maskini wanavyohangaika kulima kwa jembe la mkono na kulipa kodi na tozo kandamizi.

Angalia wavuvi ambao hawalali na familia zao wanalipa kodi na tozo kandamizi huku wakikesha majini na kuteseka.

Alafu mkuu wa nchi anakuwa dhaifu na kuacha pesa za umma zinaibiwa kama peremende kwenye duka la mhindi.

Mbaya zaidi ni kuwa Tv ipo Magogoni ila rimoti ipo Msoga.

Marais kama Julius Nyerere, Nkwame Krumah, John P Magufuli, Patrik Lumumba na Thomas Sankara watakumbukwa kwa kulinda mali za Afrika
Mkuu una maana ya Rais ama taasisi ya urais? Kuhusu uchungu wa kodi, viongozi wakuu wa taasisi hii hawalipi kodi, ndiyo maana hawaguswi na kilio cha wadau wengine.

Nafikiri tuelekeapo 2024/25 umma wa walipa kodi unapaswa kuhoji kuhusu jambo hili. Yaani wale wenye vipato vikubwa kuwa na msamaha wa kodi, wakati wale wenye vipato vidogo ndiyo wabebeshwe mzigo! Hii kwa vyovyote vile ndiyo dhana ya mtwana na mtumwa
 
Angalia raia maskini wanavyohangaika kulima kwa jembe la mkono na kulipa kodi na tozo kandamizi.

Angalia wavuvi ambao hawalali na familia zao wanalipa kodi na tozo kandamizi huku wakikesha majini na kuteseka.

Alafu mkuu wa nchi anakuwa dhaifu na kuacha pesa za umma zinaibiwa kama peremende kwenye duka la mhindi.

Mbaya zaidi ni kuwa Tv ipo Magogoni ila rimoti ipo Msoga.

Marais kama Julius Nyerere, Nkwame Krumah, John P Magufuli, Patrik Lumumba na Thomas Sankara watakumbukwa kwa kulinda mali za Afrika.
Umeandika vizuri, marais wengi wa kiafrika wanakuwa ni sehemu ya wizi na ufisadi. Katika majina uliyotaja ondoa la Magufuli kwani alikuwa kituko na aibu kwa taifa. Mwizi wa kura atashindwa je kuliibia taifa. Pesa za plea bargain ziko wapi nk
 
Angalia raia maskini wanavyohangaika kulima kwa jembe la mkono na kulipa kodi na tozo kandamizi.

Angalia wavuvi ambao hawalali na familia zao wanalipa kodi na tozo kandamizi huku wakikesha majini na kuteseka.

Alafu mkuu wa nchi anakuwa dhaifu na kuacha pesa za umma zinaibiwa kama peremende kwenye duka la mhindi.

Mbaya zaidi ni kuwa Tv ipo Magogoni ila rimoti ipo Msoga.

Marais kama Julius Nyerere, Nkwame Krumah, John P Magufuli, Patrik Lumumba na Thomas Sankara watakumbukwa kwa kulinda mali za Afrika.
Masikini wajane wa Marehemu Jiwe mnatapatapa tu sasa hv.
Danga lenu lilishajifia zake kizeembe.
Msitarajie km tutarudia kosa la kuwapa nchi waporipori nyie
 
Waliamua kuajiri watu wao watoto wa vigogo , wacha wawaangushe, ukimuajiri mtu maskini hataibia serikali, angalau atakuwa na uchungu na nchi yake, ukimuajiri mtoto wa kigogo , ndo ataiba vizuri kwa sababu amekwishazoea pesa. Huu wizi Ni matokeo ya kupeana connection za wao kwa wao. Hatuhitaji mtu msomi saana kwenye hizo nafasi, tunahitaji mtu asiyeweza kuiibia serikali. Period.
Bakini na ujinga wenu nchi ilishawashinda nyie Sukuma Gang
 
Umeandika vizuri, marais wengi wa kiafrika wanakuwa ni sehemu ya wizi na ufisadi. Katika majina uliyotaja ondoa la Magufuli kwani alikuwa kituko na aibu kwa taifa. Mwizi wa kura atashindwa je kuliibia taifa. Pesa za plea bargain ziko wapi nk
Duh!
 
Sukuma gang mtahangaika mno ila nchi inasonga kwa kasi.
Na hamtakaa mpewe nchi tena
Halafu watu wanapozungumzia mambo muhimu ya nchi acheni kutafuta kichaka cha kujifichia ili kuua mijadala mnakera sana
 
Angalia raia maskini wanavyohangaika kulima kwa jembe la mkono na kulipa kodi na tozo kandamizi.

Angalia wavuvi ambao hawalali na familia zao wanalipa kodi na tozo kandamizi huku wakikesha majini na kuteseka.

Alafu mkuu wa nchi anakuwa dhaifu na kuacha pesa za umma zinaibiwa kama peremende kwenye duka la mhindi.

Mbaya zaidi ni kuwa Tv ipo Magogoni ila rimoti ipo Msoga.

Marais kama Julius Nyerere, Nkwame Krumah, John P Magufuli, Patrik Lumumba na Thomas Sankara watakumbukwa kwa kulinda mali za Afrika.
Tutajie aliyedhibiti ubadhilifu
 
Watu wamekwiiiba eti likiongozi lamhimili linasema tutajadili mwizi miezi saba ijayo,hiyo ni kumjadili tuu sasa hatua simiaka tano ijayo?!...pumba fu sana!!!
Kwasasa mihimili yote inaongozwa nawatu legelege tutaibiwa mpaka tushangae!!
 
Angalia raia maskini wanavyohangaika kulima kwa jembe la mkono na kulipa kodi na tozo kandamizi.

Angalia wavuvi ambao hawalali na familia zao wanalipa kodi na tozo kandamizi huku wakikesha majini na kuteseka.

Alafu mkuu wa nchi anakuwa dhaifu na kuacha pesa za umma zinaibiwa kama peremende kwenye duka la mhindi.

Mbaya zaidi ni kuwa Tv ipo Magogoni ila rimoti ipo Msoga.

Marais kama Julius Nyerere, Nkwame Krumah, John P Magufuli, Patrik Lumumba na Thomas Sankara watakumbukwa kwa kulinda mali za Afrika.
Yaani watu wenye heshima zao unawaweka kundi moja na jiwe, kuwa na heshima basi hata kama wewe ni Sukuma gang.
 
Nafahamu na kila mmoja wetu humu anafahamu namna ulivyo na chuki binafsi kwa mh Rais wetu mama Samia suluhu Hassani,kwa bahati mbaya kwako ni kuwa unapuuzwa na wengi kwa kuwa watu wanafahamu kuwa huwa unaandika kwa chuki na hasira tu kwa mh Rais.

Watanzania wanatambua juhudi kubwa zinazofanywa na mh Rais wetu katika kuboresha maisha ya watanzania,amefanya haya kwa wakulima kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni, mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu, Rais samia amewafuta machozi wakulima baada ya kufanya juhudi kubwa katika kuhakikisha kuwa wanapata soko la uhakika kwa mazao yao ,tofauti na ilivyokuwa awali walipo kuwa wanapangiwa Bei na mahali pa kuiza,.

Rais Samia na serikali yake ameboresha huduma za kijamii na kusogeza karibu kabisa ya watanzania, Amejenga zahanati, vituo vya Afya kila Kona ya nchi, Amejenga vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 na hivyo kupelekea wanafunzi wote wanaofaulu kuanza masomo kwa pamoja,ameongeza mapato mpaka kufikia Trioni mbili kwa Mwezi pasipo kukimbizana Wala kufungiana biashara mitaani. Elimu bure Hadi kidato Cha sita

Ametoa maelfu ya ajira kwa vijana Mitaani, uwekezaji uneongezeka Sana kutokana na Imani kubwa Waliyonayo wawekezaji kwa Taifa letu kunakotokana na juhudi kubwa za mh Rais kuimarisha mahusiano yetu na mataifa mbalimbali tofauti na ilivyokuwa awali, jiulize kwanini Rais wa marekani aliamua kuitembelea Tanzania Kati ya makumi ya nchi Barani Afrika?

Demokrasia na utawala Bora ni imara Sana kwa Sasa na ndio maana unaona hata ripoti ya CAG ikiwa huru,Rais Samia ameendelea kuchukua hatua za kinidhamu kwa wezi na wabadhirifu wa Mali za umma,lakini pia uchunguzi unaendelea kwa wengine wote na hatua za kisheria zitaendelea kuchukuliwa.


Rais wetu Ni imara,Jasiri , shupavu na madhubuti Sana kiuongozi na ndio maana tumefika hapa tulipo na tunaendelea kusonga mbele kwa Kasi ya upepo na kupata mafanikio katika kila secta na kila eneo, ndio sababu ya Kuendelea kuaminika na kuungwa mkono na mamillion ya watanzania
 
Angalia raia maskini wanavyohangaika kulima kwa jembe la mkono na kulipa kodi na tozo kandamizi.

Angalia wavuvi ambao hawalali na familia zao wanalipa kodi na tozo kandamizi huku wakikesha majini na kuteseka.

Alafu mkuu wa nchi anakuwa dhaifu na kuacha pesa za umma zinaibiwa kama peremende kwenye duka la mhindi.

Mbaya zaidi ni kuwa Tv ipo Magogoni ila rimoti ipo Msoga.

Marais kama Julius Nyerere, Nkwame Krumah, John P Magufuli, Patrik Lumumba na Thomas Sankara watakumbukwa kwa kulinda mali za Afrika.
we kafanye kazi acha kubwabwaja huku.
 
Back
Top Bottom