Hizi thread zako zinatosha kuonyesha we ni mtu aliyekata tamaa na maishaUnamjuwa muhaini lakini? Well basi sawa nakushukuru. I pray for my country kama wewe unaona kuliombea taifa ni uhaini basi sawa. Japo hatufanani na kamwe hatuwezi fanana. Ila usisahau bandi lako
Tunauishi huu ukweli wakati wa sasa, ila sio milele (milele waijua na kuisema wewe). Mimi ni CCM ndaki ndaki lakini hakuna guarantee ya sisi kushika madaraka milele.Hili ni dua la kuku!.
Uhai wa CCM ukisitishwa hiyo 2025, taifa la Mungu Tanzania, ndio liwe chini ya nani?.
Sala na maombi ya the impossible ni sawa na kuomba muujiza wa CCM kuanguka, sala valid ni angeomba kwanza Mungu, kuipatia Tanzania chama mbadala chenye the ability, capacity and capabilities kuipumzisha CCM, ndipo uombe CCM i restishwe in peace!.
At the moment, Tanzania tunaendelea na kuiishi ukweli huu kuwa CCM itatawala milele!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Vibaya hivyoWachaga mmeletewa Tamasha liwapoze baada ya kutoa gaidi wa kwanza Tanzania.
Hii ya kutembea na machifu sio strategy...ni uamuzi binafsiStrategy ya Rais ni ya Taifa
Mimi nataka nione Mungu na CCM nani atatawala milele. Nataka hata kabla hujaishiwa nguvu uyaone haya... Nikukumbushe.... Katika Afrika Mashariki yapo mataifa matatu kama sio manne tawala zake hazitodumu. Huwezi jenga Taifa juu ya dam ya watu wa taifa lile just tu ili utawale milele. Hilo halitowezekana. Labda Mungu asiwepo ila kama Yupo atajibuMkuu Tate Mkuu, kwasababu ni Mungu ndiye huziweka serikali za mataifa, CCM haijajiweka yenyewe, umewekwa na muwekaji serikali za mataifa, hivyo kama furaha yako ni kuiona CCM ikianguka, then utasubiri sana!.
CCM ndio chama pekee cha siasa nchini Tanzania, chenye long experience ya muda mrefu ya kuitawala Tanzania, na the
current situation of political dynamics ya siasa zetu, unless otherwise, vinginevyo, CCM itatawala milele!.
Ref: Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
Wapi nimeandika jomba maneno hayo kama sio kujifanya unamapenzi na mtu while huna lolote tena ndio wakwanza kumkosoa sirini. Bora hata sisi tunamuombea. Hujuwi chochote kama wale walio dhani wangetawala milele na Baba leo wanahaha kwenye mahakama. Siitaji nguvu ya dunia nina nguvu za Mbinguni na nina uwezo ambao hauna sasa sema kingine. Acha kuongozwa na hisia zakijinga hili taifa linapita nyakati tunamuitaji Mungu kuliko hizi porojo za siasa.We ni kenge mmoja ambae huna nguvu yoyote kwenye serikali hii, acha porojo zako za mitandaoni, Kama humpendi Samia,Basi penda Nchi yao binti
Hili no dua la kuku!.Hivyo, CCM ingali ina nguvu kubwa na dola nyuma, lakini yaweza anguka siku moja tena anguko kubwa mno!!!
Ni "kwa kuteswa KWAKE, sisi tuliponywa" , vivyo hivyo ni "kwa kutwaliwa kwake, Tanzania imeponywa".Mimi nataka nione Mungu na CCM nani atatawala milele. Nataka hata kabla hujaishiwa nguvu uyaone haya... Nikukumbushe.... Huwezi jenga Taifa juu ya dam ya watu wa taifa lile just tu ili utawale milele. Hilo halitowezekana. Labda Mungu asiwepo ila kama Yupo atajibu
Kuna ajira 7000 zimetoka za ualimu, chukua vyeti vyako sasa ukapate ajira,Wapi nimeandika jomba maneno hayo kama sio kujifanya unamapenzi na mtu while huna lolote tena ndio wakwanza kumkosoa sirini. Bora hata sisi tunamuombea. Hujuwi chochote kama wale walio dhani wangetawala milele na Baba leo wanahaha kwenye mahakama. Siitaji nguvu ya dunia nina nguvu za Mbinguni na nina uwezo ambao hauna sasa sema kingine. Acha kuongozwa na hisia zakijinga hili taifa linapita nyakati tunamuitaji Mungu kuliko hizi porojo za siasa.
Poor interpretation of the scripture.Kwa vile ni Mungu ndiye huweka serikali za mataifa, then serikali zote duniani ni chaguo la Mungu.
P
Hili ni dua la kuku!.
Uhai wa CCM ukisitishwa hiyo 2025, taifa la Mungu Tanzania, ndio liwe chini ya nani?.
Sala na maombi ya the impossible ni sawa na kuomba muujiza wa CCM kuanguka, sala valid ni angeomba kwanza Mungu, kuipatia Tanzania chama mbadala chenye the ability, capacity and capabilities kuipumzisha CCM, ndipo uombe CCM i restishwe in peace!.
At the moment, Tanzania tunaendelea na kuiishi ukweli huu kuwa CCM itatawala milele!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Haya Kiongozi. Kumbuka hakuna lenye mwanzo pasipo mwisho wake...like father like son!Hili no dua la kuku!.
P
Dam Ya Yesu ndio Wokovu wetu. AmenNi "kwa kuteswa KWAKE, sisi tuliponywa" , vivyo hivyo ni "kwa kutwaliwa kwake, Tanzania imeponywa".
P
Yes ni wokovu wetu kufika kwa Baba yetu. Ila kwa kuishi, nchini kuna mashujaa kibao wamejitoa sadaka kwa machozi, jasho na damu kuifia Tanzania, ni kwa sadaka zao, Tanzania imeponywa.Dam Ya Yesu ndio Wokovu wetu. Amen
mhhh!!Yes ni wokovu wetu kufika kwa Baba yetu. Ila kwa kuishi, nchini kuna mashujaa kibao wamejitoa sadaka kwa machozi, jasho na damu kuifia Tanzania, ni kwa sadaka zao, Tanzania imeponywa.
P
huyo hataki ajira ila anatuasa "tuombe" Kwa ajili ya Nchi..mboni huelewi ...Kuna ajira 7000 zimetoka za ualimu, chukua vyeti vyako sasa ukapate ajira,
maana chuki yako yote ni kukosa ajira Tangu kipindi kile Cha dikteta, Samia amemwaga ajira 19000 za ualimu
Sina chuki na serikali nina chuki nawatu wanashindwa fuwata taratibu na sheria tumejiwekea kwajina la jamuhuri. Sina shuki na serikali ila nina chuki kuona watu walio apa nakusema watailinda katiba wao ndio wakwanza kushindwa kuifuwata ila wanataka watu wafuwate utaratibu. Kwangu hili lina niuma sana kuliko hizo ajira. Kukiwa na haki na usawa bila kuajiriwa na ajira za serikali naweza kufanya biashara zangu nanisidhulumiwe na watu walio ajiriwa na serikali. Mifumo mizuri ya kodi inayojali kipato changu sio unakusanya bila kujali napata nini unakusanya mpaka my working capital alafu unatangaza umekusanya 1trilion. Haki uinuwa taifa na dhuluma hulizamisha taifa.Kuna ajira 7000 zimetoka za ualimu, chukua vyeti vyako sasa ukapate ajira,
maana chuki yako yote ni kukosa ajira Tangu kipindi kile Cha dikteta, Samia amemwaga ajira 19000 za ualimu
Na hichi ndicho kitaenda tokea. AsanteWatanzania macho yao yapo mbele yako Mungu. Usipo shuka nakututetea basi tumeangamia. Wewe unaona toka mbali sana na Wewe ndie Baba wa Taifa la Tanzania.
Shetani amekunjuwa makucha kuturaruwa nakutugawa mithili ya vazi lililo kuukuu.
Je utafunga macho yatokee yale wanadam wamepanga yatokee siku zijazo au utashuka na kuusikiliza mkutano wao nakuwagawanya ndimi kuliokoa Taifa?
Wakati Hayati baba wa Taifa anaondoka hapa duniani alisema neno ambalo kwa sasa huu niwakati wako kulitekeleza... Alisema anatuombea Watanzania na yakwamba alitupenda na aliona yatakayo tokea kwa watanzania na akaomba Utusaidie na kutuokoa.
Mungu najuwa yapo mambo yamekukera na yamekukwaza na umeshuka kwa operation maalumu ktk Taifa la Tanzania najuwa watanzania wengi wakiwa wamelala wasijuwe chochote wewe utapita ktk anga ya Tanzania nakuacha watu midomo wazi wakati watakapo amka wasiamini kile umefanya.
Baba najuwa huu mwaka mpaka 2025 matendo yako yatakuwa dhahiri kwa taifa swala la haki utu na usawa utalisamia like never before. Wengi hawato amini ila je jina lako lidharaulike ? Lahasha kwa ajili ya watanzania umeshuka kwa ajili ya hili taifa umeshuka.
Hukushindwa kumpa miaka mingi Hayati Magufuli ila Wewe kwakuwa ni Mzee wa Siku Baba wa Siri za dunia ukaufupisha mwisho wake baada yakuona Kesho ambayo hakuna mtanzania aliijuwa na hata milele hatutojuwa maana jambo hili halikuwa lakawaida na kamwe pasipo kuachia wewe lisingetokea. Ila umetuacha na maswal magumu kwanini ulimuondoa katikati ya watu milion arobain na kitu? Mbona Ezekia ulimuongezea miaka yakuishi why not Magufuli?
Ulishuka ukawasikiliza ukaona mipango yao na malengo yao ktk siri ukausitisha mpango wao na hii nikujidhihirisha Wewe ni Mungu wa Taifa hili tumelia tumeombeza ila Wewe unabaki kuwa Mungu. Mapenzi yako yatimizwe duniani kama mbinguni na kazi yako haina makosa.
Wakati huu umeshuka na wengi wapo ktk usingizi wakiwa wamesahau kile kimetokea...
Wengine wakiabudu miungu nakupunga pepo kwa ajili ya Taifa je malango ya Taifa utaruhusu haya yatoke? Moyo wangu unalia na unaomboleza maana najuwa hutokubali na mbaya kuliko yote Utajibu wakati wakiza kinene sana.
Weka maarifa na hekima kwa wakuu wa ulinzi na usalama wa Taifa hili waonyeshe ktk maono na ndoto yale yatatokea wape mbinu za kimbingu kulinda amani ya Taifa Tz.
Taifa hili ni Taifa lako Taifa hili ni mali yako Mungu ulio wapa watanzania wote pasipo kujali dini,kabila au tamaduni. Sisi ni watoto wako. Amen
Nnimetafuta kitakacho tokea hapo sijakionaNa hichi ndicho kitaenda tokea. Asante