Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Kosa ambalo tunafanya kama raia ni kuamini tunahitaji watu au kikundincha watu kuja kututuoa hapa tulipo bila kujua hiyo mentality ndio the very cause of our demise as a Nation and as THE PEOPLE.
Cha msingi turejee misingi. Tuanze na ujenzi wa familia imara yaani baba mama na watoto, huku ndipo tutaweza toa viongozi siku za baadae wataoweza kurithi na kuiendesha mifumo bora na sheria na miiko mizuri ya uongozi.
Tuachane na hizi mbaga za kutafuta mkombozi, sisi ndio wakombozi wa taifa letu hakuna mtu ataweza hiyo kazi pekee yake. Magufuri amekuja kutupaambania mnaona jinsi alivyoshambuliwa kila kona hadi leo hatuelewi nini kilitokea but tutajua nyuma yake watu wabaya na waovu walishirikiana kufanya madhara.
Ifike wakati tujitathimini sisi kwanza binafsi haya matatizo kuanzia gazi ya vitongoji, kata, wilaya hadi mkoa tunadeal nayo vipi kama jamii.
Sio barabara inaharibika tunasema "tunaomba serikali ije kutujengea barabara" Hapana, hii si sawa. Tunachotakiwa ni kumtuma muwakilishi akatusemee bungeni kuwa tunahitaji barabara, kama inawezekana kujengewa tuambiwe lini tutaipata kama haiwezekani atuletee majibu ili wanaichi tuweze kwanza kuhoji matumizi ya mapato ya halmashauri zetu na kama mapato ni kidogo then tuanze kuja na mikakati ya kukuza mapato kupitia shughuli za uchumi na kuhamasishana kuwa na vikao vya kujadili namna ya kupata mapato ya kulipia gharama za ujenzi wa barabara.
Tukifanya hivi ndani ya miaka 5 barabara zitajengwa nyingi sana. Na tutapunguza gharama za ukali wa maisha.
Cha msingi turejee misingi. Tuanze na ujenzi wa familia imara yaani baba mama na watoto, huku ndipo tutaweza toa viongozi siku za baadae wataoweza kurithi na kuiendesha mifumo bora na sheria na miiko mizuri ya uongozi.
Tuachane na hizi mbaga za kutafuta mkombozi, sisi ndio wakombozi wa taifa letu hakuna mtu ataweza hiyo kazi pekee yake. Magufuri amekuja kutupaambania mnaona jinsi alivyoshambuliwa kila kona hadi leo hatuelewi nini kilitokea but tutajua nyuma yake watu wabaya na waovu walishirikiana kufanya madhara.
Ifike wakati tujitathimini sisi kwanza binafsi haya matatizo kuanzia gazi ya vitongoji, kata, wilaya hadi mkoa tunadeal nayo vipi kama jamii.
Sio barabara inaharibika tunasema "tunaomba serikali ije kutujengea barabara" Hapana, hii si sawa. Tunachotakiwa ni kumtuma muwakilishi akatusemee bungeni kuwa tunahitaji barabara, kama inawezekana kujengewa tuambiwe lini tutaipata kama haiwezekani atuletee majibu ili wanaichi tuweze kwanza kuhoji matumizi ya mapato ya halmashauri zetu na kama mapato ni kidogo then tuanze kuja na mikakati ya kukuza mapato kupitia shughuli za uchumi na kuhamasishana kuwa na vikao vya kujadili namna ya kupata mapato ya kulipia gharama za ujenzi wa barabara.
Tukifanya hivi ndani ya miaka 5 barabara zitajengwa nyingi sana. Na tutapunguza gharama za ukali wa maisha.