Taifa la washabikia uzinzi - Tanzania


feedback ndg yangu,
ni kweli kabisa, inauma sana kuona viongozi wakuu wa nchi wakishabikia upuuzi kisa eti ni marehemu. huyu jamaa kaharibu sana jamii yetu kwa mambo yake, juzi nilikua naangalia muvi yake moja ikanitia kichefu chefu sana, anapinga eti Mungu hayupo, si mafundisho ya shetani haya?

cha ajabu watu wanamshangilia na kumpa sifa za uongo kama hero of the nation, ametutia aibu sana. watanzania tuache unafiki let call a spade a spade and not the big spoon. ndio amekufa, lakini marehemu alikua mchafu, period.

cha msingi ni kuionya jamii yetu ya kitanzania kutoiga matendo ya marehemu hasa uzinzi
 
...acha fikra mgando ww, kwani we hujui ngono zembe ni hatari?, hujui kunywa pombe kupita kiasi ni hatari?, ni nani aliyetoa onyo kwa wasanii kujichubua na mamake up yaliyopitiliza alipokufa wacko?.....jifunze kubadili tabia mwnyw sio kila k2 tupoteze muda...tumeshachoka kuwa taifa la hamasa, tunahamasishwa kuvaa kondomu, kutovuta sigara, kunawa mikono kabla na baada ya kula, kuchmba mashmo ya vyoo, uzazi wa mpango...etc eee
 
Hatima ya lulu kupelekwa mahakama au la ni swala la kisheria zaid. Nalipo mikononi mwa Dpp na vinginevyo. Je? Akisema hana kesi ya kujbu jamii itaic vp
 
Kwa kifupi nilivyokuelewa hutaki tuseme kafa kwa uzinzi kwa vile karibu wote tumepitia uzinzi, poor analysis, ni sawa na kusema utamruhusu mtoto wako wa kike say aendeleze uzinzi kwa vile wewe na mke wako mlikutana kwenye uzinzi. Ni hatari sana kuwa na jamii yenye mawazo kama yako, kinachotakiwa tukemee tabia hii hata kama imefanywa na kipenzi chenu Kinumba.
 
Vifo:stiv 2k kisu,J.mjema kisu,F.nely kisu,vivian&complex uzinzi na ulevi,max HIV,leo kanumba pombe&uzinzi,tubadilike!
 
kanywe maziwa mgando yatakusaidia ndugu yangu.

Naona tumbo linakusumbua!!
 
naunga mkono mtoa hoja sio kwamba anamuazibu anaongea ukweli

Mkuu umeaema ukweli wengi wanaishia kushabikia wana kwepa kusema ukweli hiv kitendo ikinichakushabikia kweli/huu ni kuweka pembeni maadiri ya dini zetu naamini hakuna kiongozi yeyote wa dini anaweza kushabikia ili bari atakemea watanzania tubadilike
 
unajua ni wanandoa wangapi wanakufa kwa kuchomana visu wao kwa wao?
Unajua ni ajali ngapi ambazo hazisababishwi na ulevi ambazo zinachukua maisha ya watu!! Na hasa vijana? Au kwavile huwajui, sio masupastaa!!!
 
ndiyo vifo vya macelebrity hivyo we unataka angekufaje? na kufia wapi?,kanisani?maisha na kazi zake vimetengeneza mwelekeo wa kifo chake..angalia vifo vya mastaa wa ulaya akina whitney Houston,2 Park na wengineo wamekufa kutokana na viashiria vya kazi na matendo yao.
 
Ingawa tumesikitishwa na kifo cha Steven Kanumba, kuna haja ya kuuangalia ukweli kama ulivyo. Pamoja na kupewa heshima kubwa kuliko hata aliyostahiki kutokana na wakati wa kifo chake, sasa basi turejeeni kwenye mambo muhimu. Tumefanikiwa kuuonyesha ulimwengu kipaumbele chetu hasa kujali sana usanii kuliko uchapakazi. Najua wengi hawatapenda mawazo haya. Ukweli ni kwamba nimeshangaa kuona Kanumba akishabikiwa na viongozi kuliko hata marehemu makamu wa rais Omar Juma. Kunani? Je hii ni sawa? Sikuona rais kwa wakati tofauti na mkewe, na vigogo wengine wakimiminika kwenda kwenye msiba wa Omar Juma kwa spidi kama hii. Hakika Tanzania ni nchi ya wasanii.
Bwana alitoa Bwana amechukua. Maisha yanaendelea. Turejee kwenye kupambana na ufisadi, usanii, uvivu na urongo basi. Au siyo?
 
Huu ujumbe anatakiwa apewe mkulu.
Kwa yeye utafikili amechanjiwa na misiba.
 
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.
Michael Jackson pamoja na shutuma za kuwadhalilisha watoto, kifo chake kiliombolezwa na maelfu ya watu duniani kote! Jililie nafsi yako na siyo ya mwenzako!
 
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.

Ni uzinzi ama uasherati? Maana Mzinzi ni yule aliyeoa tu
 
Hiki ni kipimo kizuri sana cha akili za watanzania. Perfect unawajua nini kilicho muhimu kwao. Ndio maana magazeti ya udaku yameshawajua wapi pa kuwalia pesa kiulani. Tena hamna cha ngazi za juu wala fisadi wala mkulima wala dni wengi wamekua washabiki wa upuuzi.
 
Hivi Tanzania nzima mnzinzi ni Kanumba peke yake.Mnaelewa maana ya neno Uzinzi na Uasherati??Mngekuwa mnaelewa maana yake
sidhani mngediriki kumshupalia Kanumba.

Mbona hata jf lipo jukwaa la uzinzi na uasherati linafurahiwa tu....au mmemchukia tu Kanumba..
 
hapo sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…