Taifa la washabikia uzinzi - Tanzania

Taifa la washabikia uzinzi - Tanzania

Usihukumu usije ukahukumiwa.

Swala siyo kuhukumu kaka, au unafikiri mbinguni ni casino nini, eti hata machangudoa wataingia? au unadhani peponi ni night club eti hata wazinzi wanaingia tu.
 
Nakubaliana na mtoa mada kuwa taifa linashabikia uzinzi kwakuwa hata viongozi wa dini yake hawakuthubutu kukemea dhambi hiyo hata ktk ibada hiyo ya mazishi. Naomba ieleweke kuwa dhambi hiyo isipokemewa na hasa ktk mazingira kama hayo vijana wetu watadanganyika na kuendelea kutenda tendo la ndoa nje au kabla ya ndoa.
 
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.

Mimi si mtakatifu in anyway, lakini niambie ulipo nije tusimame wote ili tupigwe (si madongo bali) mawe kabisa! Naunga mkono hoja yako 110%!
 
Wameshabikiaje uzinzi? Mtu akishakufa regadles kafaje lazima afanyiwe taratibu zote..kama kuoshwa kuswaliwa na kuzikwa..mfano katika uislamu aliyeoa au kuolewa akikamatwa ugoni anapigwa mawe mpaka afe au aliyeua nae anauawa kisha anafanyiwa taratibu zote ambazo angefanyiwa aliyekufa kwa ugonjwa..labda unachoweza niambia ni kwamba watanzania hatuna kazi muhimu za kufanya..

Mume overvalue sana, huyu ni mzinzi alikuwa azikwe kikawaida tu. Tatizo nchi yetu wananchi malimbukeni watupu, huwezi kumpa coverage ile pamoja na presidential support mwasherati kama yule. Shame on all those waliokwenda Sinza Vatican na Leadets club. Leo mutaponda comment yangu lakini after a couple of years muje mujiulize wenyewe kama mulikuwa munastahili ku invest muda wenu na raslimali fedha kwenda kumzika muigizaji aliyebaka binti wa miaka 17. Alipomchukua kwa wazazi wake alisema anamtoa kwa kipaji chake kumbe anamtia! Nanyi munashabikia uchafu huo
 
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.

Thread yako ina ukweli,ila hujaindika vizuri.Taifa hili liko njia panda.Uovu sasa ndio bora,wema hauna nafasi.Kwa ajili ya uovu wetu ambao tumepandikiziwa,hao hao walio tuingiza mkenge mpaka tupende uovu,mwaka 2012 wameufanya uwe ole kwetu.Utakuwa mwaka wa mateso ambayo mwanadamu hajawahi kuyaona.Matumbo yatauma!
 
Kama Kanumba kuishi na mwanamke kama wachumba bila ndoa ndio UZINZI, basi umetukana wengi sana tena wenye uongozi mkubwa kwenye vyama vya siasa!
Tuombe radhi mashabiki...........

Sijasema uongo, huo ni ukweli, sihukumu ila nasema ukweli uliosababisha kifo cha Kanumba (RIP). Siombi radhi, ndio nao wanafanya uzinzi hata kama ni nani
 
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.
This is more than jelous. Even to the dead body!!!.
 
Wewe unayewaita wenzako wazinzi wewe ni msafi??

Au kwakuwa unashinda kwenye nyumba za ibada ndio ukajiona umeongoka? Usi judge ndugu yangu hakimu yupo mmoja tu.

Mimi sio msafi hata kidogo, lakini nasema Taifa zima kushabikia uzinzi, hakuna aliyekemea alichokuwa anakifanya na kitoto kile, wanakimbilia eti mcheza filamu , hakuna filamu tanzania, ni maigizo
 
nafiri kama wewe sio mzinzi, uwe wa kwanza kurusha jiwe. however ujue kuwa Mungu anapenda watu wote, wazinzi na wasio wazinzi. sote tunaishi kwa neema tu. kama Mungu angekuwa kama wewe hivi, basi siku ileee, unayoikumbuka uliyozini angelikuulia palepale kwenye kitanda, lakini ana huruma alikuacha tu, ukamaliza, ukaondoka, siku ukajifikiria ukarudi kwake ukatubu akakusamehe na sasaivi unarusha mawe kwa wenzio. hapa hatushabikii uzinzi wa mtu, tuna msiba wa mtu aliyekuwa balozi wa tz katika sanaa kwa nchi mbalimbali za afrika mashariki na ameingiza ajira kwa watu wengi waliokuwa wakisambaza kazi zake za sanaa. ni muhimu kuelewa kuwa, wasanii wanatakiwa kutathiminiwa sana. kumbuka kagame alituma hadi ndege kuwachukua wale waimba kwaya chrust ambassadors....tuwajali watu wetu. don't judge his uzinzi, Mungu angehesabu maovu hakuna ambaye angesimama.

mimi nimependa sana hii, nimeona kumbe watz tuna umoja sana, hii kitu imetuunganisha watz sana sana. mimi hapa niko kahama shinyanga, huwezi amini kuna wasukuma walilia mitaani ajabu huku usukumani. kauli kama yako hiyo ikiitoa huku usukumani, unaliwa nyama nakwambia...and some of them don't even know whether incident ilitokana na uzinzi, wao wanamwangalia kanumba as kanumba hawaangalii uzinzi wake. Mungu anisaidie mimi binafsi kwasababu bado tu ni mwenye dhambi. wala siihitaji kuwanyoshea wengine vidole, labda kama ni kuwaombea tu Mungu awarehemu wageuke.

Give us a break! Unawalinganisha wale wanakwaya na Kanumba? Simuhukumu Kanumba, ila handling ya kifo chake ni very poor! Mazingira ya kifo cha Kanumba na handling ya aftermath yake (kwa serikali na media) inawaambia nini teenagers ambao bado wanahitaji guidance ya wazazi/walezi wao? Leo hii mzazi atamrudi vipi mtoto mtoto kwa jambo ambalo hata Rais wa nchi kalibariki?
 
nyeti zinasema kanumba alikuwa kuwadi mkubwa wa mkulu...akimtaka bongo movie yeyote anampigia kanumba direct ...yet woteb ni freemason
nafikiri kuna umuhimu mkubwa sana kuwafundisha watu nini maana ya freemason, na ni watu wepi. kwasababu nimeona watz wanachanganya sana. mtu akifanya kitu cha ajabu tu wanasema freemason. try to google and knwo who they are.

freemason hawadili na mtu masikini wa chini kama kanumba, kuingia tu mle kuna umakini mkubwa na kuna madaraja. mabilionea tu ndo wanakuwa mafreemason. hivi vyama vya kichawi kama vya wachaga wa kimara (wachaga wenzangu) etc, cults kama za kinijeria etc, sio freemason.....yule mhindi wa tz ambaye ni kiongozi wa freemason miaka mingi kamwulizeni namna ya kuingia humo. pia, usilinganishe kanisa la shetani lile kule karibu na moven peak hotel (sijui kama imebadilishwa nakumbuka jina hili) wanalosali usiku uchi etc, ni tofauti na freemason pamoja na kwamba vyote ni vyama vya kishetani. freemason ni kikundi cha watu matajiri sana wanaoongoza dunia hii katika kila nchi. masikini haingii mle hata siku moja. ila kuna cults ndogondogo kama hizi za lion club pia ni za kishetani, usilinganishe na hizo.
 
Mume overvalue sana, huyu ni mzinzi alikuwa azikwe kikawaida tu. Tatizo nchi yetu wananchi malimbukeni watupu, huwezi kumpa coverage ile pamoja na presidential support mwasherati kama yule. Shame on all those waliokwenda Sinza Vatican na Leadets club. Leo mutaponda comment yangu lakini after a couple of years muje mujiulize wenyewe kama mulikuwa munastahili ku invest muda wenu na raslimali fedha kwenda kumzika muigizaji aliyebaka binti wa miaka 17. Alipomchukua kwa wazazi wake alisem kwa hiyo ulitaka asizikwe? Wewe binadam kazi yako ni kumuosha kumswalia au kumsalia na kumzika kinachofuata baada ya hapo hakuna anayejua.. Wewe omba mungu usiwe na mwisho mbaya kama wa huyu jamaa.
 
nafiri kama wewe sio mzinzi, uwe wa kwanza kurusha jiwe. however ujue kuwa Mungu anapenda watu wote, wazinzi na wasio wazinzi. sote tunaishi kwa neema tu. kama Mungu angekuwa kama wewe hivi, basi siku ileee, unayoikumbuka uliyozini angelikuulia palepale kwenye kitanda, lakini ana huruma alikuacha tu, ukamaliza, ukaondoka, siku ukajifikiria ukarudi kwake ukatubu akakusamehe na sasaivi unarusha mawe kwa wenzio. hapa hatushabikii uzinzi wa mtu, tuna msiba wa mtu aliyekuwa balozi wa tz katika sanaa kwa nchi mbalimbali za afrika mashariki na ameingiza ajira kwa watu wengi waliokuwa wakisambaza kazi zake za sanaa. ni muhimu kuelewa kuwa, wasanii wanatakiwa kutathiminiwa sana. kumbuka kagame alituma hadi ndege kuwachukua wale waimba kwaya chrust ambassadors....tuwajali watu wetu. don't judge his uzinzi, Mungu angehesabu maovu hakuna ambaye angesimama.

mimi nimependa sana hii, nimeona kumbe watz tuna umoja sana, hii kitu imetuunganisha watz sana sana. mimi hapa niko kahama shinyanga, huwezi amini kuna wasukuma walilia mitaani ajabu huku usukumani. kauli kama yako hiyo ikiitoa huku usukumani, unaliwa nyama nakwambia...and some of them don't even know whether incident ilitokana na uzinzi, wao wanamwangalia kanumba as kanumba hawaangalii uzinzi wake. Mungu anisaidie mimi binafsi kwasababu bado tu ni mwenye dhambi. wala siihitaji kuwanyoshea wengine vidole, labda kama ni kuwaombea tu Mungu awarehemu wageuke.

mbona Rais hajatoa mapumziko kama nyerere ama karume ect
 
Hata mimi nimeshangaa kila aina ya ushahidi tumeuona...
Kwanza alikuwa na mwanamke ambaye siyo mke wake hivyo walikuwa wanazini tu...
Pili chumbani kwake kumekutwa na pombe kali aina ya whisky hivyo alikuwa analewa
kwa vyote hivyo naweza kumaliza kwa kusema kilichomuua kanumba ni ulevi, mapenzi na uzinzi...ni ajabu taifa kuomboleza kifo cha mzinzi...ingekuwa somalia kanumba kabla ya kifo chake ilimfaa apigwe na mawe mpaka kufa
 
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.
Mh nyie CHADEMA mna rohoo za korosho hata kwa maiti.Wakati wa uchaguzi tulisema dr slaa mnzinzi hana mke.mlitetea leo mnajifanya watu wa mungu na kukemea unzinzi.
 
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.

kabla ya kuwa-accuse marehemu kanumba na "sisi watz wote", ingekuwa vema kama ungekatuwekea hapa jamvini definition ya "uzinzi" kwanza. hiyo itatusaidia kujua marehemu alizini vipi....tuanzie hapo.
 
Back
Top Bottom