Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Umeolewa?Ukimaliza cku zako unatakiwa kwanza kuoga
Chama chetu kipo haiCHADEMA gani jamani mbona mlisema 2020 itakuwa imeshakufa?
Hawa vijana wa CCM huwa wanafikiri kinyume.Mi si nimesikia sasa hivi CHADEMA wanasajili wanachama kidigitali vipi tena wewe unasema hawana nguvu
Sasa tuna hoja gani na mkakati gani wa kupambana na Ccm?Hawa vijana wa CCM huwa wanafikiri kinyume.
Hiyo ilikuwa mipango ya mwendazake shangaa kaiacha yeye.CHADEMA gani jamani mbona mlisema 2020 itakuwa imeshakufa?
InawezekanaBunafsi naamini kwamba, watakao inyoosha CCM watatoka ndani ya CCM.
Bado naamini kwamba CCM itatolewa madarakani na watakaotokea CCM
Wewe tuliza makasesera hapo Lumumba.Sasa tuna hoja gani na mkakati gani wa kupambana na Ccm?
Umeolewa?
Umeolewa? Huwa unavaa bikini?Nmeshakutolea posa ucjal utakuwa mathna
Unamwuliza nani? Onesha hoja ulizonazo wewe kwanza ndo kije CDMSasa tuna hoja gani na mkakati gani wa kupambana na Ccm?
Kwani wewe nani kakuzuia kuinyoosha ccm?Sisi Chadema ndio tumekosa hoja kabisa za kunyoosha na kuikosoa hii CCM ya wakandamizi.
Act wazalendo ndio wamebakiza mipasho huko Twitter na kwa ujumla wameunga juhudi.
Sisi Chadema hatuna mwelekeo wa kisiasa kabisa. Sioni ajenda au mkakati wa kupambana na Ccm zaidi ya kuwa washabiki wa kinachoendelea ndani ya CCM.
We are in political limbo.
Anawaonea wivu huyo🤔.Mi si nimesikia sasa hivi CHADEMA wanasajili wanachama kidigitali vipi tena wewe unasema hawana nguvu
Kwan c mlikua mnapambana kuhakikisha mpaka. 2020 CDM iwe imekufa??? Sasa hapa unatakaje labda, acha unafiki mbogamboga wewe!!!Sisi Chadema ndio tumekosa hoja kabisa za kunyoosha na kuikosoa hii CCM ya wakandamizi.
Act wazalendo ndio wamebakiza mipasho huko Twitter na kwa ujumla wameunga juhudi.
Sisi Chadema hatuna mwelekeo wa kisiasa kabisa. Sioni ajenda au mkakati wa kupambana na Ccm zaidi ya kuwa washabiki wa kinachoendelea ndani ya CCM.
We are in political limbo.