Taifa letu lina bahati mbaya sana, mwaka 1984 yalitukumba pia

Taifa letu lina bahati mbaya sana, mwaka 1984 yalitukumba pia

Ni mwaka ambao kila mtanzania anakumbuka jinsi tulivyopata setback kubwa kwenye taifa letu.

Hayati Moringe Sokoine alikuwa mstari wa mbele kusafisha wazembe, walarushwa, walanguzi na mafisadi alifariki katika ajari huko mkoani Morogoro.

Sokoine alikuwa kiongozi shupavu aliyekuwa akitoa tamko waharifu wa kila namna wanaacha, wafanyakazi wanaacha uzembe na mafisadi wanakimbia.

Mwaka huu tena yametukuta yaleyale kama ya mwaka 1984. Big setback katika historia ya taifa letu.

Watanzania tujitafakari sana na kumuomba Mungu.
Big setback 🤣🤣🤣🤣👆👆👆 tutamuomba MUNGU ampe nguvu, hekima na busara aweze kuliongoza Taifa vyema Rais Samia. OVER!!
 
Ni mwaka ambao kila mtanzania anakumbuka jinsi tulivyopata setback kubwa kwenye taifa letu.

Hayati Moringe Sokoine alikuwa mstari wa mbele kusafisha wazembe, walarushwa, walanguzi na mafisadi alifariki katika ajari huko mkoani Morogoro.

Sokoine alikuwa kiongozi shupavu aliyekuwa akitoa tamko waharifu wa kila namna wanaacha, wafanyakazi wanaacha uzembe na mafisadi wanakimbia.

Mwaka huu tena yametukuta yaleyale kama ya mwaka 1984. Big setback katika historia ya taifa letu.

Watanzania tujitafakari sana na kumuomba Mungu.
Ukumbuke vile vile kuwa Sokoine alikuwa a pseudo-dictator.
Watu waliwekwa kizuizini wakati hakuna sheria iliruhusu kitendo hicho kwenye katiba.
 
Mtu anapita nchi zipo pale pale na zinaendelea kuwapokea watu wengi tu wenye uwezo.

Maneno hayo aliyasema hayati JPM pale ikulu, hivyo haipo haja ya kuendelea kulialia kama tunatambua kuwa dunia hii sisi ni wapita njia.

Wataibuka wanasiasa vijana miaka hii ya sasa watakaokuwa na busara, hekima, maono na ujasiri wa kufanya maamuzi.

Asili siku zote imekamilika huwa haina upungufu.
 
Usije ukajitoa akili kumfananisha Sokoine na Maendazake hapana .....mmoja alikuwa kiongozi mahiri mwingine mwehu...ameharibu uchumi nchi ...hawafanani
 
Ni mwaka ambao kila mtanzania anakumbuka jinsi tulivyopata setback kubwa kwenye taifa letu.

Hayati Moringe Sokoine alikuwa mstari wa mbele kusafisha wazembe, walarushwa, walanguzi na mafisadi alifariki katika ajari huko mkoani Morogoro.

Sokoine alikuwa kiongozi shupavu aliyekuwa akitoa tamko waharifu wa kila namna wanaacha, wafanyakazi wanaacha uzembe na mafisadi wanakimbia.

Mwaka huu tena yametukuta yaleyale kama ya mwaka 1984. Big setback katika historia ya taifa letu.

Watanzania tujitafakari sana na kumuomba Mungu.
Basukuma ung'waka gwenuyu mkunya! Mpaka mjambe cheche!
 
Back
Top Bottom