Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Kuvamia studio ni tofauti na kuua watu, mauaji ni murder case mkuu, kosa kubwa sana.Kuvamia Clouds Fm ni minong'ono ya mitandaoni?
Alienda mwenyewe kuvamia akiwa na askari wenye silaha.
Unajua kosa la uvamizi wa kutumia silaha kifungo chake ni miaka mingapi?
Ndiyo maana watu wakasema sahizi angekuwa anaozea jela.
Kama vyombo vya usalama haviwezi kuthibitisha wizi wa Mwigulu, basi tuna serikali ya hovyo kuliko zote duniani
Huenda wewe ndiyeKama wewe unao ushahidi wa kutosha! Simple, fanya kama alivyofanya huyo kijana!!
Sema tu waziri Mwigulu, siku fulani, sehemu fulani, saa fulani, kaiba kiasi fulani, mali ya fulani!! Uone kitakachojiri!!
CAG kishasema, tena kwa maandishi kabisa.Kama wewe unao ushahidi wa kutosha! Simple, fanya kama alivyofanya huyo kijana!!
Sema tu waziri Mwigulu, siku fulani, sehemu fulani, saa fulani, kaiba kiasi fulani, mali ya fulani!! Uone kitakachojiri!!
Onyesha hio chupa dogo aliyoingiziwa mkunduni, km ushahidi unao au ushahidi ni ile clip yake? Umesahau hata Simalenga amewahi kukutana na kadhia km hii akaambiwa amempiga binti kule Simiyu sijui hadi amemtoa jicho na binti akaweka bonge la bandeji kufunika jicho kuonyesha km amepasuliwa jicho watu wakahamaki unajua yaliishaje yale Mambo na Simalenga yupo wapi? Ogopa script na maneno ya kutunga ili kuchafua watu, usipende kusikiliza upande mmoja ukatoa maamuzi utalishwa Sumu ufeGekul kila kitu kipo wazi!
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.
Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.
Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao
Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Umenikumbusha ile futuhi ya dada mtu mzima aliyejiita mwanafunziOnyesha hio chupa dogo aliyoingiziwa mkunduni, km ushahidi unao au ushahidi ni ile clip yake? Umesahau hata Simalenga amewahi kukutana na kadhia km hii akaambiwa amempiga binti kule Simiyu sijui hadi amemtoa jicho na binti akaweka bonge la bandeji kufunika jicho kuonyesha km amepasuliwa jicho watu wakahamaki unajua yaliishaje yale Mambo na Simalenga yupo wapi? Ogopa script na maneno ya kutunga ili kuchafua watu, usipende kusikiliza upande mmoja ukatoa maamuzi utalishwa Sumu ufe
Hapo ndipo Gekul ataonekana msafiKama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.
Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.
Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao
Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Kashakula mvua miaka 3. Si haba.Mwaga ushahidi hapa,ata Sabaya mlimnanga,kashitakiwa mmeshindwa kutoa ushahidi Mahakamani!
Gekul kila kitu kipo wazi!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app