Taifa liache unafiki. Hivi uovu wa Gekul unafikia hata robo ya ule wa Makonda?

Taifa liache unafiki. Hivi uovu wa Gekul unafikia hata robo ya ule wa Makonda?

Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lisu kamtaja hadharani, mwandishi w magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikiomuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Iache treni iende Kigoma usiichepue iende Mpanda.
 
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lisu kamtaja hadharani, mwandishi w magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikiomuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
 
Mbona mwigulu ana tuhuma za wizi wa fedha za umma na bado ni waziri wa fedha?

Justification za kitoto hizi bro grow up!! Yule kijana kaongea kafanywa jambo la ukatili!! Kitendo cha kutajwa from the "horses mouth" tu kuwa kashiriki kuvunja katiba na yeye ni naibu waziri wa sehria na katiba!! No way...!! Aende tu

Mwigulu hakuna aliyesema ni hela ipi imepigwa? Wapi? Kiasi gani? Ila ndiyo tunasema kaiba, hata mie najua ni mwizi ila ushahidi sina!!!
 
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lisu kamtaja hadharani, mwandishi w magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikiomuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Bashite ni mnyama zaidi,
 
Haya majitu ya huko Mbulu yana roho mbaya sana hasa yakiwa na madaraka.
Mh hujakosea wambulu kiboko halafi kwa wanawake sifa yao kuu ni uhuni na umalaya yan hao watu hawasemagi NO..kingine ni wabishi na hawajui kujenga hoja mnaweza kubishana kitu ambacho hakina mantik ya kubishana..
 
Huyu alikuwa Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, awe na tuhuma kama hizo nani ataweza kumshawishi nani afuate sheria??

Ukiwa kiongozi unatakiwa ukae mbali na even harufu ya uovu, Gekul kachemka!!

Hilo tu!! Hampaswi kumlinganisha na Makonda licha ya tawala kuwa tofauti kabisa!!
Kwamba hatua za jinai zinaangalia nafasi ya mtu na wakati? Hii ni akili ama nini? Anyway ni tawala tofauti lakini hilo lilitosha kumtopa nafasi aliyeonayo.
 
Weka hapa uovu wa makonda kwa ushahidi usionekane unajua kuongea tu shusha mikeka makonda usiwe chawa usiokuwa na data
 
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lisu kamtaja hadharani, mwandishi w magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikiomuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Mkuu sijaelewa unajaribu ku justify kitu gani ? Ila nnachojua mimi makosa ya makonda yamezidi tena mbali kabisa lakin hakujustify huyu mama kumuingiza machupa yule dogo au we unaonaje ? Kila siku tunasema hii nchi inabid katiba mpya ije kwa kasi, mtu akisema hivyo hata kama hana chama mnamhusisha na chadema sijui kwa nini, Katiba mpya haitakuwa na upuusi wa double standars sawa ? Bashite na gekul wote ni mapuusi ila kwakuwa mmoja kapendelewa haiguarantee mwingine kupendelewa na kama ikiwa hivyo si hii nchi itakuwa ya hovyo sana kuliko ilivyo hapo ilipo ? Msijifiche kwenye kivuli cha gender raisi ni gender pendwa kabisa kwenu wanawake.
 
Bila Makonda kukamatwa na kufikishwa mahakamani, yote yanayofanyika kuhusu haki, ni unafiki mtupu.

Nchi hii ni kama kuna watu wamepewa vibali vya kufanya uovu wa kila aina, hata kuua, kuteka watu na kupora mali za watu kwa namna watakayo. Halafu wapo watu wakifanya uovu hata mdogo sana, kwa unafiki mkubwa, wanachukuliwa hatua ili ionekane watawala wanachukia uovu, wakati kiuhaliasia wanapalilia uovu.

Makonda kuna ushahidi wa kila aina, mpaka Serikali ya Marekani ikaweka wazi kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kusihi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga kwenye nchi yao, halafu wajinga, punguani na wanafiki wakubwa utawasikia, eti kama mna ushahidi, mmpeleke mahakamani!! Punguani wakubwa nyie. Tangu lini mwovu wa makosa ya jinai anapelekwa mahakamani na raia? Hiyo ni kazi ya polisi. Katiba yetu imetoa mamlaka hayo kwa DPP pekee yake. Wananchi wengine wote uwezo wao kwenye makosa ya jinai, unaishia kuwa mashahidi lakini siyo kufungua kesi.
Taja watu walioteswa na Makonda.
 
Sijaiona hiyo clip mwenye nayo tafadhali anipatie
 
Justification za kitoto hizi bro grow up!! Yule kijana kaongea kafanywa jambo la ukatili!! Kitendo cha kutajwa from the "horses mouth" tu kuwa kashiriki kuvunja katiba na yeye ni naibu waziri wa sehria na katiba!! No way...!! Aende tu

Mwigulu hakuna aliyesema ni hela ipi imepigwa? Wapi? Kiasi gani? Ila ndiyo tunasema kaiba, hata mie najua ni mwizi ila ushahidi sina!!!
Kama vyombo vya usalama haviwezi kuthibitisha wizi wa Mwigulu, basi tuna serikali ya hovyo kuliko zote duniani
 
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Hakuna maamuzi yenye kuhusisha mashitaka au vitendo vyenye uelekeo huo bila utashi wa kisiasa na nia ya kushitaki (political will and intention to prosecute).
Tofauti kuu ya haya matukio ni hiyo. Moja polisi wamejihusisha kwa uwazi kabisa jingine hawajawahi.
 
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Ninashauri hata RPC, OCD na Maaskari waliomtesa huyo kijana wachukuliwe hatua. Inakuwaje kijana amelala Kituo cha Polisi siku nne bula dhamana huku akiteswa bila sababu. RPC,OCD wawajibike.
 
Back
Top Bottom