Taifa lijulishwe bei na namna huu mtambo wa Tanesco ulivypatikana. Hizi ni harufu za ufisadi kupitia mgao wa umeme hapa nchini.

Taifa lijulishwe bei na namna huu mtambo wa Tanesco ulivypatikana. Hizi ni harufu za ufisadi kupitia mgao wa umeme hapa nchini.

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Taratibu za manunuzi zimefuatwa? Je kama zimefuatwa mbona taifa halikuwekwa wazi?
👇
2b35a12e-fd7f-4b0c-9a67-8b31b82d6fae.jpg
 
Wakati ndege zinanunuliwa Taifa liliwekwa wazi?
Bhaulize, bhaulize. Jiwe alikuwa anatumia fedha zetu kama vile ni za kwake binafsi. Ananunua ndege kama vile anavyomnunulia mkewe underwear. Jiwe alaaniwe huko aliko.

N. B. Ingawa kosa halitibiwi kwa kosa.
 
Yeye na baba yake wanaamini hawafi kwasababu ni watu wazuri.
Siyo yeye tu hata Kikwete na Kinana hawatakufa kwa sababu wao ni watu wazuri, ila rais Samia atakufa akiacha kuwa mtu mzuri. Ila hakika siku ya vifo vya hawa wazee sijui itakuwaje.

Unajua kitendo cha kumuua Dkt Magufuli kimelitia doa sana taifa letu, hii kitu itachukua miaka mingi kusahaulika.

Na sasa laana itatembea kizazi hadi kizazi na hivi hivi wataendelea kuuana viongozi waliopo madarakani na hasa marais, na itakuwa hivyo hivyo kama ilivyokuwa utawala wa ki Rumi.

Mtawala wa kwanza alimuua ndugu yake na waliofuata waliuawa hivyo hivyo ili mwingine aje madarakani, siyo ajabu kauli za JK na Makamba zikawa zimemlaani Rais Samia anaweza akafa kabla ya 2025 akaja mwingine naye hivyo hivyo akafa ili aje mwingine na hawa wazee wanaweza wakauawa na rais aliyepo madarakani yaani ukawa ni muendelezo wa kuuana tu.

Nadhani kama taifa inabidi tupate rais mcha Mungu ili taifa letu liombe msamaha lipone.
 
Taratibu za manunuzi zimefuatwa? Je kama zimefuatwa mbona taifa halikuwekwa wazi?
👇
View attachment 2441543
tunaomba kwanza tujulishwe yafuatayo
1. nani alijenga uwanja wa ndege wa chato (kampuni gani), tenda ilipatikana vipi? je ujenzi ule ulipitishwa bungeni au yalikuwa matakwa ya mtu binafsi?
2, Ndege za Tanzania zilinunuliwaje? taratibu za manunuzi zilifuatwa? wazabuni walipatikanaje?
Lengo ni kubaini kama kuna ufisadi
 
tunaomba kwanza tujulishwe yafuatayo
1. nani alijenga uwanja wa ndege wa chato (kampuni gani), tenda ilipatikana vipi? je ujenzi ule ulipitishwa bungeni au yalikuwa matakwa ya mtu binafsi?
2, Ndege za Tanzania zilinunuliwaje? taratibu za manunuzi zilifuatwa? wazabuni walipatikanaje?
Lengo ni kubaini kama kuna ufisadi
Kwa kuwa aliyemtangulia alifanya makosa basi tuhalalishe makosa yaendelee na kwa aliyepo?,tunamkomoa nani?,ndo maana hawajali wanajua akili zetu haziko sawa
 
Siyo yeye tu hata Kikwete na Kinana hawatakufa kwa sababu wao ni watu wazuri, ila rais Samia atakufa akiacha kuwa mtu mzuri. Ila hakika siku ya vifo vya hawa wazee sijui itakuwaje.

Unajua kitendo cha kumuua Dkt Magufuli kimelitia doa sana taifa letu, hii kitu itachukua miaka mingi kusahaulika.

Na sasa laana itatembea kizazi hadi kizazi na hivi hivi wataendelea kuuana viongozi waliopo madarakani na hasa marais, na itakuwa hivyo hivyo kama ilivyokuwa utawala wa ki Rumi.

Mtawala wa kwanza alimuua ndugu yake na waliofuata waliuawa hivyo hivyo ili mwingine aje madarakani, siyo ajabu kauli za JK na Makamba zikawa zimemlaani Rais Samia anaweza akafa kabla ya 2025 akaja mwingine naye hivyo hivyo akafa ili aje mwingine na hawa wazee wanaweza wakauawa na rais aliyepo madarakani yaani ukawa ni muendelezo wa kuuana tu.

Nadhani kama taifa inabidi tupate rais mcha Mungu ili taifa letu liombe msamaha lipone.
Wafuasi wa Magufuri acheni upumbavu, kwani mlitaka Magufuri asife kwani yeye ninani ndani ya hii dunia?
Siku yake ilifika akafa kama ww ambavyo siku yako ikifika na utakufa hakuna aliye muuwa.
Kama mpaka manabii walikufa huyo Magufuri wenu ana upekee gani mpaka asife kwa tarehe yake kufika ila mpaka auwe?


Kuhusu kauli ya mzee makamba naye ni mzee wa hovyo kama mlivyo nyinyi wafuasi wa JPM, nyote hamuamini katika uwezo wa mungu bali mnaamini katika nadharia zaidi.
 
Back
Top Bottom