Taifa limeingizwa kwenye mtego wa chuki kubwa

Taifa limeingizwa kwenye mtego wa chuki kubwa

Ahsante mungu kwa matokeo hayo.....
Nairobi tumetishiwa kupigwa tukachachawa
Kumbe ile ilikuwa mbinu km za wanamasumbwi za kututoa mchezoni na kweli tukatoka wametupa tatu za kumchembe
Mpira ni sayansi na sio hamasa pekee na mapambio
Asanteni kwa kutupa raha mkuu, pia mkumbuke kuwa mulikuwa munacheza na timu ya chama cha siasa na sio timu ya taifa.
 
Kamati ya wahamasishaji
Wema
Piere liquid

Watanzania mnategemea nin apo
 
+254
IMG_20190628_003303.jpeg
 
Kuna watu ni mahiri wa kutabiri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20190628-WA0014.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Si wampe tu tiketi agombee urais kupitia ccm 2020 huyu kijana maana imekuwa too much kwa sasa, kila mahali anajipenyeza na bahati nzuri ana kirusi cha kushindwa kila anapogusa!!!!! Amekalia kumdanganya ti rais....
 
Si wampe tu tiketi agombee urais kupitia ccm 2020 huyu kijana maana imekuwa too much kwa sasa, kila mahali anajipenyeza na bahati nzuri ana kirusi cha kushindwa kila anapogusa!!!!! Amekalia kumdanganya ti rais....
bingwa wa kushundwa DAB
 
Siku Zote huwa Sijui kushangilia mpira hii sitarehe ya Mpira ilinipita kushoto kabisa ila Jana Nilivaa uhusika wa wakenya kabisaaaa! Mpaka Wife ananiuliza toka lini? Wewe ulishangilia mpira Nilimjibu Bila Uoga Haitatokea Mimi kushangilia kitu chochote Anachoshangilia Bashite na Meko.
 
Nasaha jadidi.
[emoji116]
Mheshimiwa hebu ajipe muda wa kujituliza kwenye matukio makubwa makubwa ya Kitaifa.
Hebu ajikite kwenye kazi yake na hayo mengine awaachie wahusika.
Kuendelea kujiweka mbele katika kila tukio kubwa la Kitaifa kunazidi kuhalibu haiba ya nchi.
 
Nasaha jadidi.
[emoji116]
Mheshimiwa hebu ajipe muda wa kujituliza kwenye matukio makubwa makubwa ya Kitaifa.
Hebu ajikite kwenye kazi yake na hayo mengine awaachie wahusika.
Kuendelea kujiweka mbele katika kila tukio kubwa la Kitaifa kunazidi kuhalibu haiba ya nchi.
[emoji108][emoji123][emoji106][emoji106]
 
Back
Top Bottom