Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Asanteni kwa kutupa raha mkuu, pia mkumbuke kuwa mulikuwa munacheza na timu ya chama cha siasa na sio timu ya taifa.Ahsante mungu kwa matokeo hayo.....
Nairobi tumetishiwa kupigwa tukachachawa
Kumbe ile ilikuwa mbinu km za wanamasumbwi za kututoa mchezoni na kweli tukatoka wametupa tatu za kumchembe
Mpira ni sayansi na sio hamasa pekee na mapambio