Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!

Ndio maana nilwahi sema: "the world is fair once you are dead or when someone else is dead."
 
Mkuu pasco tumsifu yesu Kristu

Naomba jibu

Ni wakati gani Ngurumo anakuwa mwanahabari na wakati gani anakuwa mwanasiasa tena kamanda wa chadema kikwelikwelii?

Utamtofautishaje Ngurumo wa siasa na mwanahabari?

Nijibu nirudi kwa mapana
utamtofautishaje mkulu na mwenyekiti wa chama?
Wakati gani anakua Rais na wakati gani anakua mwenyekiti wa chama??
 
Hapa kuna jambo la kujifunza!

Tatizo la wengi wetu hatupendi kujifunza, tunatumia kile tunachokiamini, kilicho ndani yetu kuwa ndio maarifa.

Tutumie milango ya fahamu kupata maarifa mapya kisha tujifunze kitu.

Tutambue, tukiona hali haibadiliki basi hapo hakuna tunalojifunza
 
Umeona mbali sana....angalia kwa makini maeneo yaliyoguswa.
Lissu paaaaap
Kinondoni paaaaap

Thrn akaendelea na story ya uchaguzi kata moja huko Mwz.
Sasa anagoja aguswe, na ataguswa kwenye lipi

1) kikao cha ukumbi wa BOT Mwz
2) mazungumzo juu ya Lissu
3) kuhusu kinondoni
4) kuhusu mkuu wa nchi kutoa amri
5) kuhusu kupanga utekaji _jinai

Nani anajua Ngurumo anajua hayo mambo kiasi gani.
Kama wqna busara watamwacha au kumpoteza na kama hawana busara watajaribu kumkamata. Labda kumhoji kusikoisha na kesi isiyopelekwa mahakamani.
 
Pascal Mayalla Ngurumo anajiaminije mpaka anatoa taarifa ngumu kama hii? .Hajui kuwa wengi aliowataja ni wateule wa Rais ?

Inamaana Rais anabariki upuuzi huu?Ngurumo jitokeze ueleze vyema tofauti na hapo utaitwa mchochezi
Mbona watazania wagumu wa kuelewa!!! Unaweka maswali sehemu ya kuweka full stop. Unataka ajitokezeje, ameshaandika unataka apige talumbeta mtaani au aende mwenyewe polis?
 
Inawezekana walikuwa recorded? That will make more sense zaidi ya hear say!
Kwakuandika exact muda kikao kilipoanza kunaonyesha kuna details za recorded sound au video. Ngurumo ni mwandishi msomi anajua kutoa hints:

1) muda kikao kimeanza ...kwamba ana details ya kikao
2) random mazungumzo ya washiriki...lissu na kinondoni (inaweza kuwa ni mtego wa panya anaswe paka hapo)
 
Umehubiri vizuri Mr. 1000 Digits Lakini kuwataka CDM waripoti police hasa kwa maswala yenye maelekezo kutoka juu ni kijisumbua!!! Swala la Mawazo, Lissu, marehemu wa Arusha, wa Tarime, la Saanane, la wale wa Mbeya, wale wa Arumeru nk. Maswala yao yapo police Je kimeendelea nini???!!!

Kilichotakiwa ni kuwa na viongozi wanaothamini uwepo wa wananchi, ktk wao kuingia madarakani. Si hawa wanaothamini uwepo wa vyombo vya dola ktk uwepo wao madarakani.

Mwisho haya yote yanaletelezwa na katiba mbovu iliyorundika madaraka makubwa kwa binaadamu badala ya taasisi tulizojiwekea. Na katiba hiyo mbovu, imekuwa chaka la watawala kukandamiza wananchi. Na ndio maana hawako tayari kuijadili na wala kuibadili na kuja na katiba inayowapa wananchi nguvu dhidi ya serikali
 
Ndo maana huwa najiuliza, kama kifo kisingekuwepo, nadhani wengi wetu tusingeamini Mungu yupo.

“Fear of death and unknowns”, is what make most of us believe in God!

Otherwise we would’ve been braver like them suicide bombers!
 
Ni kweli. Mimi mwenyewe naipa taarifa hii a benefit of doubt, kwasababu nina imani na Ansbert Ngurumo.
 
Halafu mtu anaenda mbele ya altare kupakwa majivu dah kweli tumeamua kumchora mungu
 
Hawawezi kujichunguza, haya mambo yanaratibia na wao wenyewe. Haya yawe reported to the UN, CDM should send a special mission to the world kuieleza kinachoendelea hapa. And this will work!
 
Ni ushetani kuunga mkono ushetani kwa sababu yeyote. Tunashukuru malipo ni hapahapa duniani. Usiseme hukuambiwa
 
Succession! A policy in the party, kill opponents! Now it is a successon
 
Wewe mwenyewe anzia hapo Pascal,sio kila unachokijua lazima ukisema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…