Taifa linaomboleza. CHADEMA wamebaki kuendekeza majungu. Hawajui hata zilizoendelea raia hushiriki kuokoa kwenye majanga?

Taifa linaomboleza. CHADEMA wamebaki kuendekeza majungu. Hawajui hata zilizoendelea raia hushiriki kuokoa kwenye majanga?

CHADEMA itawatesa Sana pamoja na kuifunga miguu na mikono lakini bado mnaipa shutuma ambazo sio zake. Nakushauri uKasome press release ya CHADEMA ya Jana. Ipo straight forward. Imepongeza wananchi waliojitoa kuokoa miili , imeelezea masikitiko yake na imetoa ushauri nini kifanyike. Ipo very balanced.

Tena ukiisoma vizuri hiyo press release hakuna sehemu imeilaumu serikali ya CCM .
Stupid
 
Back
Top Bottom