Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
- Thread starter
- #61
StupidCHADEMA itawatesa Sana pamoja na kuifunga miguu na mikono lakini bado mnaipa shutuma ambazo sio zake. Nakushauri uKasome press release ya CHADEMA ya Jana. Ipo straight forward. Imepongeza wananchi waliojitoa kuokoa miili , imeelezea masikitiko yake na imetoa ushauri nini kifanyike. Ipo very balanced.
Tena ukiisoma vizuri hiyo press release hakuna sehemu imeilaumu serikali ya CCM .