Taifa linaomboleza. CHADEMA wamebaki kuendekeza majungu. Hawajui hata zilizoendelea raia hushiriki kuokoa kwenye majanga?

Taifa linaomboleza. CHADEMA wamebaki kuendekeza majungu. Hawajui hata zilizoendelea raia hushiriki kuokoa kwenye majanga?

Ukitembelea Twita kila mfuasi, mwanachama na Mwanachama wa Chadema anaponda wavuvi kutoa msaada ya kuokoa.

Hivi kuna ubaya gani raia kusaidia kufanya maokozi?

Mbona hata huko USA na Ulaya majanga yakitokea raia huwa wanatoa msaada.?

Ina maana Chadema nyie ni watu wa kuponda hata kama kuna msiba?
Kmmk
 
Ukitembelea Twita kila mfuasi, mwanachama na Mwanachama wa Chadema anaponda wavuvi kutoa msaada ya kuokoa.

Hivi kuna ubaya gani raia kusaidia kufanya maokozi?

Mbona hata huko USA na Ulaya majanga yakitokea raia huwa wanatoa msaada.?

Ina maana Chadema nyie ni watu wa kuponda hata kama kuna msiba?
Mimi sio chadema wala ccm.
Na hapa umeandika pumba
 
Tunahitaji kujichunguza sana ubinadamu wetu kama unatosha au unahitaji kuboreshwa
Mimi sijawahi sikia USA au Ulaya katika kipindi cha winter (barafu) wakifunga kwa maombi eti jua liwake....huwa wanavaa makoti na serikali yao ina hakikisha kwamba ina nishati ya kutosha ili wananchi wa heat nyumba zao ili wasigande na barafu....

Ila ukija kwa serikali ya CCM ni vituko.....wanaomba mvua kipindi cha kiangazi....wacha wawaponde tu....
 
Ukitembelea Twita kila mfuasi, mwanachama na Mwanachama wa Chadema anaponda wavuvi kutoa msaada ya kuokoa.

Hivi kuna ubaya gani raia kusaidia kufanya maokozi?

Mbona hata huko USA na Ulaya majanga yakitokea raia huwa wanatoa msaada.?

Ina maana Chadema nyie ni watu wa kuponda hata kama kuna msiba?
Ungekaa kimya hakuna ambaye angehoji ukubwa wa upumbavu ulio nao. Punguza kuwashwa, jifunze kukaa kimya inapobidi!
 
Ndugu yangu.
Mimi ni mwanaCCM kindakindaki lakini ninasimama kwenye ukweli.

Hii porojo uliyoiandika hapa inazidi kutudidimiza chama tawala kwa sababu hakuna connection ya chadema na hizi issues za kizembe na kikatili zinazofanywa na viongozi wetu

Tumewazuia wasijenge chama chao kwa mujibu wa sheria
Tumewabana kila kona.

Kwa nini leo tuwalazimishe walie msibani?

Misiba yao imewaelemea hawana wa kulia pamoja nao
Kuna watu ni wa hovyo sana, asante kwa kumpa jibu lililoenda shule
 
Ukitembelea Twita kila mfuasi, mwanachama na Mwanachama wa Chadema anaponda wavuvi kutoa msaada ya kuokoa.

Hivi kuna ubaya gani raia kusaidia kufanya maokozi?

Mbona hata huko USA na Ulaya majanga yakitokea raia huwa wanatoa msaada.?

Ina maana Chadema nyie ni watu wa kuponda hata kama kuna msiba?

Akili za MaCCM ndo kama hivi. Utadhani mbwa jike alopata joto!
 
Ukitembelea Twita kila mfuasi, mwanachama na Mwanachama wa Chadema anaponda wavuvi kutoa msaada ya kuokoa.

Hivi kuna ubaya gani raia kusaidia kufanya maokozi?

Mbona hata huko USA na Ulaya majanga yakitokea raia huwa wanatoa msaada.?

Ina maana Chadema nyie ni watu wa kuponda hata kama kuna msiba?
[emoji116]
20220913_235323.jpg
 
Ukitembelea Twita kila mfuasi, mwanachama na Mwanachama wa Chadema anaponda wavuvi kutoa msaada ya kuokoa.

Hivi kuna ubaya gani raia kusaidia kufanya maokozi?

Mbona hata huko USA na Ulaya majanga yakitokea raia huwa wanatoa msaada.?

Ina maana Chadema nyie ni watu wa kuponda hata kama kuna msiba?
Umeandika upumbavu wako, uzembe mkubwa umefanyika na watu wameshindwa kuokolewa bado unaongea ujinga. Feel shame for yourself. Wewe umeona ule ndio uokoaji? Fikiria japo kidogo na pia muone maisha ya watu wengine yana thamani pia wewe.
 
Masikini rubani na msaidizi wake wamejitahidi ndege imetua juu ya maji, wamefanya mawasiliano kuomba msaada ila serikali katili ya CCM imeshindwa kuwaokoa mpaka wamekufa maji pamoja na abiria wengine.
 
Ukitembelea Twita kila mfuasi, mwanachama na Mwanachama wa Chadema anaponda wavuvi kutoa msaada ya kuokoa.

Hivi kuna ubaya gani raia kusaidia kufanya maokozi?

Mbona hata huko USA na Ulaya majanga yakitokea raia huwa wanatoa msaada.?

Ina maana Chadema nyie ni watu wa kuponda hata kama kuna msiba?
Hii hoja yako ni ya kipuuzi kabisa.

Sijasikia mtu akiwalaumu wavuvi kutoa msaada kwa wahanga. Kila mmoja amewapongeza sana hawa wavuvi duni, ambao hawajawahi kupanda hata ndege, leo wakiokoa maisha ya baadhi waliobahatika. Wamejitahidi sana kwa kuzingatia vifaa walivyo navyo.

Kilicho dhahiri ni kwamba kila mwenye akili timamu ameshuhufia na kulaumu kwa kiwango cha juu kabisa Serikali ambayo haina maono na haina mipango yoyote ya maana ya kupambana na majanga, huku wakichezea pesa za umma kwa mambo yasiyo na umuhimu kama kununua magari ya kifahari, kutumia helikopta kutembeza kakaratasi kenye idadi ya watu, magari ya kila aina ya maji ya washawasha!

Hakika tuna Serikali duni iliyojaa watu wabinafsi, wapenda anasa, wasioyajali maisha ya umma, ambao kimsingi ni pesa yao ndiyo wanayoitumia kufanyia anasa.
 
Selikali haiponserious na ishu za Majanga.
Jana tumeshuhudia ya Bukoba
JUZI tumeshuhudia ya Morogoro.
Majuzi Mv spice, Busisi nk.

NCHI IMEJAA WAAAÀPUMMBAVLFU7U.
MAZEZEEEEEETA.
MA V8

Uokoaji QUMAMAE ZENU.
MAJANGA MBWAAA NYIEEEE.

Nisije nikatukana nikapigwa Bani.

Niishie hapo
 
Ujinga ni tatizo kubwa kwenye taifa letu,habari ni mbinu hafifu za Uokoaji kwenye ajali ya Jana halafu kuna mtu anauliza CHADEMA wangefanya mini!

Hivi kwa akili zako za kijiko Chadema wanaongoza chombo gani, Navy au Zimamoto?
Nchi hii haibadiliki. Viongozi hawawajibiki kwa sababu ya kuwa na watu wajinga kama huyu mleta mada. Viongozi hawawezi kuwajibika kama umma hauwezi kuwawajibisha. Bahati mbaya, umma wenyewe ni pamoja na huyu mleta mada hii ya kijibga.

Tunaongekea uhai wa watu, yeye anaongelea habari za CHADEMA. Hivi ndani ya ile ndege, au hata miongoni mwa waliokufa, vifo vimechagua huyu ni wa CCM nimwache, na huyu ni wa CHADEMA aangamie?
 
Back
Top Bottom