Taifa linapokuwa na chama cha upinzani kama CHADEMa ni wastage of money and resources. Wastage at full capacity.

Taifa linapokuwa na chama cha upinzani kama CHADEMa ni wastage of money and resources. Wastage at full capacity.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party.

Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi.

Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua kulamba asali. Hawafai kabisa maana sio watetezi wa taifa letu.

Haya lambeni asali sasa.
 
Mtu mwenye busara haongei ovyo na mtu mwenye hekima huongea kwa logic na facts.

Mwenye kukosa busara na hekima huwa kinyume na mambo hayo. Yaani huongea hovyo, hana mantic kwenye akisemacho anaweza kujiropokea jambo hata asilokua na ushahidi nalo. Jitafakari kwenye hoja zako mleta mada
 
Mtu mwenye busara haongei ovyo na mtu mwenye hekima huongea kwa logic na facts.

Mwenye kukosa busara na hekima huwa kinyume na mambo hayo. Yaani huongea hovyo, hana mantic kwenye akisemacho anaweza kujiropokea jambo hata asilokua na ushahidi nalo. Jitafakari kwenye hoja zako mleta mada
Utakuwa huna hata kidato
 
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party.

Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi.

Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua kulamba asali. Hawafai kabisa maana sio watetezi wa taifa letu.

Haya lambeni asali sasa.

Mmeshindwa bashuri mnahamia kwa chadema ambayo hamuiwezi miaka na nenda Rudi Hadi kwa msaada wa kingai.
 
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party.

Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi.

Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua kulamba asali. Hawafai kabisa maana sio watetezi wa taifa letu.

Haya lambeni asali sasa.
Mjibuni Bashiru huko kwanza na Alhaji Kimbisa
 
CCM inakopa fedha Kwa Siri ili itoe rushwa Kwa raia wake wakati wa uchaguzi yaani chama cha wala rushwa
 
Taifa lenyewe linaongozwa na chama cha hovyo sana na kinawahadaa wananchi kwa kiwango cha juu sana.Kwa mfano hali ya maisha imekuwa ni ngumuuuuuu ktk kila aspect,na taifa lote limeingia GIZANI haijapata tokea huku nishati ya umeme ikiwa ni nguzo muhimu ktk maisha ya kila siku ya watu.Kama sasa naandika hakuna umeme kwa muda wa masaa 14 na haieleweki utarudi muda gani?
Watanzania wana haja ya kufanya jambo kubwa na la kihistoria dhidi ya hali hii ngumuuuuuuu wanayopitia.

Hovyo kabisa
 
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party.

Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi.

Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua kulamba asali. Hawafai kabisa maana sio watetezi wa taifa letu.

Haya lambeni asali sasa.
Ungekua na hata tone la akili ungetumia mifano ya mamilioni wanayolipwa Akina Halima Mdee kwa mgongo wa chama Cha Majambazi CCM
 
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party.

Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi.

Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua kulamba asali. Hawafai kabisa maana sio watetezi wa taifa letu.

Haya lambeni asali sasa.
Na wewe hujaandika la maana, huna tofauti nao....
 
Kuna ubishani wao wanafanyaga uko YouTube ni kichefuchefu Kwa kweli
 
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party.

Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi.

Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua kulamba asali. Hawafai kabisa maana sio watetezi wa taifa letu.

Haya lambeni asali sasa.
Wewe lazima CHADEMA inakupa stress na heartburn za hatari. Siyo kwa makasiriko haya
 
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party.

Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi.

Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua kulamba asali. Hawafai kabisa maana sio watetezi wa taifa letu.

Haya lambeni asali sasa.
Uwe na heshima kidogo

Japo anayepaswa kukufunza na wazazi wako.
Ushawai wachangia ?

Hujawai kuwachangia inakuuma.nini

Mke sio wako akiliwa inakuuma nini
 
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party.

Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi.

Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua kulamba asali. Hawafai kabisa maana sio watetezi wa taifa letu.

Haya lambeni asali sasa.
Sho
Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party.

Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi.

Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua kulamba asali. Hawafai kabisa maana sio watetezi wa taifa letu.

Haya lambeni asali sasa.
Utakuwa shoga wewe
 
Back
Top Bottom