Taifa linapokuwa na chama cha upinzani kama CHADEMa ni wastage of money and resources. Wastage at full capacity.

Taifa linapokuwa na chama cha upinzani kama CHADEMa ni wastage of money and resources. Wastage at full capacity.

CHADEMA imewaachia kila kitu mkitawale, iwe bunge, halmashauri na vijiji/mitaa. Kazi imewashinda mmeamua kuifuata kwa maneno ya kijinga. Shughulieni umeme, maji, ajira kwa vijana, mfumuko wa Bei na kushuka kwa pato la taifa.

CHADEMA imewaachia uwanja mfanye mpendavyo lakini mnawafuatilia tu.
 
Back
Top Bottom