Taifa lipaze sauti kubwa Askofu Mwamakula aachiwe mara moja. Hakuna hatia aliyoifanya

Taifa lipaze sauti kubwa Askofu Mwamakula aachiwe mara moja. Hakuna hatia aliyoifanya

MASHEIKH KWA MADAZAN WAPO JELA LEO HII KAASKOFU KAMOJA TU:TANZANIA HAITOPATA MAENDELEO KWA SABABU YA UKABILA,UDINI NA UBINAFSI MUNGU HAWAPENDI WATU WENYE HIANA NA UNAFIKI
 
Usishirikishe Taifa kwenye ujinga. Mamakula ajitetee mwenyewe tuna matatizo mengi sana hayo ajinasue tu


mheshimiwa kedekede inabidi umu- acknowledge mwenye msemo wake
1613475937727.png
 
Hatia aliyofanya ni kudai katiba mpya,ambayo inawanyima usingizi watawala.
 
Huyo sio askofu ni mpuuzi tuu anayepigania tumbo lake haishangazi alifukuzwa hata huo uaskofu.
 
Yaani Taifa zima lipaze sauti kwaajili ya mpuuzi mmoja asiye na hekima?
Lelo umekuwa itondo! Wewe hapa umetumia hekima gani zaidi ya kuuonyesha upuuzi uliotukuka? Kama la kupaza sauti halijakubariki ungepita hivi ukaishia bondeni! Itondo lya warimu kabisa!
 
MASHEIKH KWA MADAZAN WAPO JELA LEO HII KAASKOFU KAMOJA TU:TANZANIA HAITOPATA MAENDELEO KWA SABABU YA UKABILA,UDINI NA UBINAFSI MUNGU HAWAPENDI WATU WENYE HIANA NA UNAFIKI
Masheikh unaodai wapo jela walikuwa wanapigania katiba mpya?
 
Back
Top Bottom