Taifa lipaze sauti kubwa Askofu Mwamakula aachiwe mara moja. Hakuna hatia aliyoifanya

Taifa lipaze sauti kubwa Askofu Mwamakula aachiwe mara moja. Hakuna hatia aliyoifanya

Nyie BAWACHA mnafugaje mbwa kwa kutegemea mavi ya walevi
keyboard worrier [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]my ass
 
Wana watisha akina Bagonza wanaosema ukweli wakae kimya dikteta atumbue keki ya taifa kimya
 
Tanzania tushakua kua kituko, na bado tunaendeleza Mambo ya ajabu, itoshe kusema bughuzi KWA watumishi wa mungu zinabidi kukoma Mara moja.

Hakuna serikali dunian yaweza lazimisha kila mtu afanye kile state inataka, ali Hali mtu havunji sheria. Leo tarehe 16/ 2/ 2021 ushauri wangu kwa viongozi wa taifa hili, free watu wa mungu, na Kama hamtafanya hivyo , yatawakuta makubwa, achana na haya Mambo,KWA nafsi ya mmoja mmoja Kama muhusika wa haya Mambo mtapata matatizo asema bwana.

Taifa KWA pamoja yapo ya msingi ya kushughulikia, na katiba ikiwa ni moja wapo so upatapo watu wakutilia mkazo ni swala la kuwashukuru, kujadiliana, si kamata na weka ndani, hatufiki mbali kwa mtindo huu.
 
kama alikuwa anabwabwaja akidhani ana watu nyuma, zaidi ya wale wapumbavu wa twitter na jf jukwaa la siasa, wacha akale alipopeleka mboga.

angemuuliza tundu antipas mungwai lissu, anawajua vyema sana watanzania,hawanaga shobo na kima.
 
Usishirikishe Taifa kwenye ujinga.Mamakula ajitetee mwenyewe tuna matatizo mengi sana hayo ajinasue tu
Wew ni chizi, katiba mpya wew huitaki? Au ndiyo wale mnaosema kuwa kwani hii ina shida gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
CCM acheni kututonesha madonda ya uchaguzi mkuu; mwachieni mtumishi wa Mungu bila masharti yoyote!!

Kudai katiba ya wananchi si kosa kisheria, na kuitisha maandamano si uhaini.
 
Back
Top Bottom