Taifa lipaze sauti kubwa Askofu Mwamakula aachiwe mara moja. Hakuna hatia aliyoifanya

Taifa lipaze sauti kubwa Askofu Mwamakula aachiwe mara moja. Hakuna hatia aliyoifanya

Haya bhana mimi yangu macho na masikio baaas.
Mambo haya tulizoea kuona wanafanyiwa kina sheikh Ponda sasa leo imekuwa Askofu. Wamsubiri Jumapili Kanisani akienda kuungama wamnongoneze , atamwachia tu.

Na huyu Askofu naye anashida gani lakini!? Hiyo kazi wameshindwa kina Mbowe Lisu na Lema na Fatma Karume Kigogo na Mange nafasi zao za uanasiasa na uanaharakati saasa yeye na joho na msalaba wake mkubwa kama Yesu kaanguka mara ya pili sijui kala maharage ya wapi huyu!

Hivi kwanza kamaliza kuwakusanya kondoo wa bwana wote waliotawanyika kondeni bila mchungaji wakitafuta njia ya kwenda kwa mpalange manaake nasikia 75 wanaenda huko wakitoka kanisani siku hizi.

Au Siku hiz kuna agano dogo baada ya lile agano jipya..!?
 
Watanzania tunaonekana makondoo sana kwasababu ya uoga wetu, chakushangaza zaidi tumefikia hatua ya kumshangaa mtu anaepigania haki zetu, siku tukiamka kwa umoja wetu tutalikomboa hili taifa.

Ngoja kwanza kuna ka kazi kamuhimu hapa nafanya nikikamaliza nitaona kama naweza kuandamana au laah
 
Uyo sio Askofu wa kanisa ni Askofu wa Chadema.
Maaskofu wa Mungu wapo kwenye madhabahu wanaubiri maneno matakatifu ya Mungu.
Kama ni kupaza sauti mpaze Chadema na sio watanzania wote.
Nchi hawezi kuandelea kama tunaishi na wapumbavu kama hawa
 
Nchi hawezi kuandelea kama tunaishi na wapumbavu kama hawa
Hamia sayari ya Mars mkuu huko utengeneze watu watakao kuwa na mawazo Kama yako nadhan mtaendelea sana
 
Hamia sayari ya Mars mkuu huko utengeneze watu watakao kuwa na mawazo Kama yako nadhan mtaendelea sana
Ona linavyowaza kipuuzi, ndiyo maana hamna mnachojua zaidi ya kupiga makofi
 
Ona linavyowaza kipuuzi, ndiyo maana hamna mnachojua zaidi ya kupiga makofi
Wewe unajua nini zaidi??
Kaingizwe barabarani sasa
Unataka tumsaidiaje mtu anayejaribu sumu kwa kulamba
 
Hiyo ya Masheikh futa kabisa.Hatutawaunga mkono kwa hili.Kwanza waachiwe huru wale Masheikh wetu wa uamsho halafu ndiyo tuandamane pamoja.
 
Hiyo ya Masheikh futa kabisa.Hatutawaunga mkono kwa hili.Kwanza waachiwe huru wale Masheikh wetu wa uamsho halafu ndiyo tuandamane pamoja.

afrika inahitaji maendeleo zaidi ya demokrasia, maswala ya kukimbizana barabarani hovyo kama matoto huku kina mbowe wapo ndani wana angalia dstv ni upuuzi tufanyen kazi
 
Nchi hawezi kuandelea kama tunaishi na wapumbavu kama hawa
Nyinyi waelevu Chadema mnamaendeleo yapi,makao makuu ya Ufipa bati zinavuja,ofisi aina hata choo,ruzuku anakula Mbowe mmiliki wa chama.
 
Back
Top Bottom