NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Ni wajibu wa viongozi wa dini kuhudumia kiroho jamii ama mikusanyiko yoyote,ila sio wajibu wa viongozi wa dini kuitisha maandamano na kuvuruga amani tena kipindi hiki cha mapambano dhidi ya Corona.Mbona viongozi wa dini wakishiriki mikutano ya Ccm hamsemi?