Taifa lisilo kuwa na Umeme wa uhakika ni Taifa liloamua kuwa masikini

Vipi na mradi wa gesi wa Kinyerezi?
 
bilashaka unaizungumzia Africa Kusini ya mzee Cyril Ramaphosa...
 
Kama Fusso Tipper iliyotupwa Japan hapa ina Kodi ya 45m ni Nchi masikini bado...Bajaji inafika 8.5m daah tunabaki kujisifia meli zimejaa bandarini kwa Mizigo ya Zambia na DRC.
 
Alafu wanawakaribisha wawekezaji, kuja kuwekeza kwenye guza?
 
Tuache Watanzania tupo busy tunamuwish happy birthday mama kizimkazi
 
Hapo Dawa ni ku-format tu ondoa wooooote waliopo safisha shirika zima alafu leta wapya wasio na vinasaba vya wale waliokuwepo kabla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…