Taifa lolote linapokuwa na mkuu wa nchi ambaye hana huruma kwa raia wake ni taifa linaloekea pabaya. Raia wa hilo taifa watapata magumu na taabu kubwa

Hushangai watu wanazungumzia mkongo na supu ya pweza....badala ya kutwambia namna gani serikali inakabiliana na mfumuko wa bei
Ile ni fani ya Food and Nutrition ambayo inasimamiwa na Wizara ya Afya. Wataalamu ndiyo wamefanya tafiti wakagundua mapungufu hayo. Kama Rais anayewajibika lazima atoe maelekezo kwa wataalamu nini kifanyike. Kwani wewe hujaona biashara ya Alkasus mikoa ya Dar na Tanga? Au michangangiko ya mhogo, Karanga na nazi akina mama wakiuza kwenye makutano ya barabara za Dar?. Musiwe akina Pinga Pinga mtakuwa wapumbavu sasa
 
Wewe kila siku unamlaumu tu mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani wakati kila mtanzania mwenye akili timamu ameona namna mh Rais wetu mpendwa alivyofanya kazi kubwa ya kuwatumikia watanzania, kila mmoja na mtanzania ameona namna mh Rais wetu mpendwa alivyopambana na suala la mfumuko wa Bei hapa nchini,

Mfano katika kilimo mh Rais wetu mpendwa alitoa billion Mia moja hamsini, Jambo lililopelekea kushuka kwa Bei za mbolea hapa nchini ukilinganisha na mwaka Jana, Jambo litakaloongeza na kuchochea uzalishaji msimu ujao,

Mh Rais wetu mpendwa pia amekuwa akitoa Ruzuku ya mabillioni katika Nishati ya mafuta, hata mwezi huu serikali imetoa billioni 65 Kama Ruzuku , Jambo lililopelekea kushuka kwa Nishati hiyo ya mafuta ambayo Ni injini ya uchumi,

Pia katika kugusa maisha ya watanzania mh Rais wetu mpendwa amekuwa akisogeza huduma karibu ya mwananchi Alipo, lakini pia amefanya kazi kubwa ya kusambaza huduma za maji Safi na salama, umeme Hadi vijijini huko Jambo lililopelekea kuibua fursa mpya za ajira kwa vijana na akina mama makundi ambayo Ni makubwa

Hata katika suala la kuvutia wawekezaji na watalii mh Rais wetu mpendwa amefanya kazi kubwa Sana kutokana na kuimarisha diplomasia yetu,Jambo linalosaidia pia upatikanaji wa fursa za ajira kwa vijana na kuongeza wigo wa mapato,

Mambo aliyofanya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Ni mengi Sana na huwezi ukayamaliza kuyaainisha hapa, kikubwa punguza na ondoa chuki zako kwa mh Rais wetu mpendwa
 
Hapa sijui unataka kuongea ujinga gani wakati chama tawala ni kilekile..CCM. kila mwaka CCM inaendelea kuboreka..hiyo ndio maana yake .kila kiongozi anayeingia anakuwa amejifunza kitu fulani Cha mtangulizi wake..anasonga mbele..anaendelea kuupiga mwingi..Sasa wewe utaharisha weee hujielewi..wajanja tunakuchora tu
 
Utanichora sana wakati wanaume tunatoka kukimbizana na fursa kutafuta hela. Pumbavu Mkubwa, unasubiri upate hela kwa kupost utumbo JF
 
Utanichora sana wakati wanaume tunatoka kukimbizana na fursa kutafuta hela. Pumbavu Mkubwa, unasubiri upate hela kwa kupost utumbo JF
We fursa unaijua wakati bado unakula kulala,. Bado unamtegemea mume mpaka leo..hayawani kweli..mmeshindwa mpk leo Hamna hata Makao makuu, mtaishia kupanga mpaka siku ya kufa kwenu..huku viongozi wenu wakiendelea kupiga mkwanja tu wajameni..mnatia huruma mabinti wafia Ufipa..
 
We unafanya kazi Gani ndio useme hali ya uchumi ni mbaya nyie ndio wachawi
Wakulima tunauza gunia Moja la mahindi elfu 95 we kaa hivyohivyo
 
Weee jomba kama huna kazi nenda katafute kazi nyingine..mwacheni mama achape kazi..anajitahidi sana kwa kiasi chake..kwanza hatukutegemea kufikia hatua mpk Sasa...Toofautisha mama na baba wajameni
Hatua Gani unaongelea? Hatua YA kulimbikiziana tozo kila mahali?
 
Nchi haiongozwi kwa huruma hata siku moja bali kwa utaratibu, Kanuni na Sheria. Nyie ndo wale awamu ya 5 mlikuwa mnakenua meno mkiitwa 'wanyonge' kwa fikra kwamba mnahurumiwa.

Wananchi mkiona nchi inaongozwa bila kufuata Sheria na Kanuni, basi huyo Kiongozi mnamtoa kwa nguvu ya sanduku la kura. Mbona ikifika wakati wa uchaguzi mnaanzaga kuwasifia haohao mnaosema hawana huruma? Tusichoshane kwa threads za kijinga JF
 
Threads za kijinga ndio sifa ya huyu mkuu, huwa hana jipya zaidi ya kuandika machungu yasiyo msaidia chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…