Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #41
Fuatilia kumbukumbu, nilikuwa najibu hoja kwa hoja.Ni kweli tindo huyu mtoa mada chagu wa malunde alikuwa ni CHAWA mkubwa wa Mwendazake, tena anaweza kukesha na wewe akikubishia na kukujibu kwa ajili ya yule Bwana. Leo amebadilika kiajabu sana