Taifa stars anapoteza Leo

Nasikia Shirikisho la mpira la Burundi linakusanya ushahidi ili kumshtaki Kaseja CAF! Eti wale wachezaji waliokosa penati wamelalamikia kwa viongozi wao kuliona "Jitu kubwa la kutisha golini" badala ya golikipa Kaseja!
Hahahaaa, wameanza figisu kwenye ushindi wetu, watuache nao wangeweka hilo jitu kwenye goli lao, yaani wanakosa penati zoote[emoji3]
 
innocent dependent uko wapi? Mimi niko mbali na Vyombo vya Habari Ndugu. Kama utakuwa na matokeo ya Mechi yetu ya leo kati ya Tanzania ( Taifa Stars ) na Burundi ( Intamba Murugamba ) naomba unipe tafadhali. Natanguliza Shukran Kwako na nimeona katika Members wote hapa JamiiForums nikuulize Wewe kwakuwa ndiyo unaujua Mpira na ni Mtu ambaye hata Ukitabiri Matokeo ya Mechi huwa yanakuwa ya kweli na hivyo hivyo.
 
We mrundi kesho uondoke na warundi wenzio
 
Naam, huyu kocha apewe mikoba ya taifa tu atatufikisha mahali pazuri maana uwezo wake tumeuona kwa miaka kadhaa
 
Kama nakuona macho yalivyokutoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…