Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Una Upungufu Mkubwa Akili Kichwani! (UMAKI)Acha wivu angekuwa anatoka Simba ungemtaja vizuri,
Acha wivu
usinikoti tena! soma uelewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una Upungufu Mkubwa Akili Kichwani! (UMAKI)Acha wivu angekuwa anatoka Simba ungemtaja vizuri,
Acha wivu
Umeona mpira kwa vile timu uliyokutana nayo imekupa Uhuru.Mngecheza na Senegal au Algeria mngepoteana Tena tungekula hamsaKwa mpira tuliocheza leo tumeonesha tuna timu yaani ilikuwa raha kuangalia kila mchezaji anapopata mpira kiongo tulikikamata kisawasawa hichi ndicho tulichokuwa tunataka timu icheze mpira sio kwenda kurukaruka mpaka mpira unaisha.
Kenya walikuja na plan ya kuzuia naamini kwa mpira huu tuliocheza wakenya wakifunguka kule kwao tutawafunga.
Hata mfanyeje CHAN hamfuzu ng'oooEtienne Apewe Team Mazima
Team Imecheza Vizuri Ila Tatizo La Finishing Pale Mbele Ni Shida.
Na Viungo Wa Kupeleka Team Mbele Wao Wanapiga Back Pass. Ajibu Alivyoingia Ndo Akawa Anajaribu Kusogeza Team Mbele Yaan Hakuna Kugeuka Nyuma. Safi!
Big Up Kwa Beki Nyuma Wamejitahidi. Hasa Kale Kajamaa Cha Kulia Sijui Paul Nanii!
Nimesema Tu Me Sio Mzalendo
sidhani kama umeelewa ulichoandika mkuuCvnyie wale wa apewwe mara afukuzwe MPIRA
Yaani Kenya walikuwa wanacheza mpira kwa malengo huku wakiwa wamegawa muda wa muda wa kushambulia,ila Sisi wachezaji wetu na sisi waTz tulikuwa tunashangilia tobo na kanzu za kina dilunga ambazo kwa wenye akili na kocha wa Kenya alikuwa anacheka tuHaya wale wa kulaumu na kuhamisha goli.... Leo tuhamishie lawama kwa nani?
Mje!
Nani hakuwepo leo?
Square pass za kijinga jinga tu za kusikia kelele za jukwaani,Boko angetoka mapema tu maana alikuwa mtalii,bora Ayee Salimu kacheza dakika nne na one shot on targetAFCON mechi zilituzidi kiwango,leo tumefeli siyo hatukuwa na bahati.Unaupiga mwingi bila malengo.
Hao Kenya situlicheza nao kule Misri wakatupoteza unadhani kwa mpira tuliocheza leo tungecheza kule Misri wangetufunga hawa.Umeona mpira kwa vile timu uliyokutana nayo imekupa Uhuru.Mngecheza na Senegal au Algeria mngepoteana Tena tungekula hamsa
Sisi hatujawahi kuwa na bahati hata siku moja! 🙄🙄🙄 hizi sababu ya kulaumu bahati tuipumzishe sasaBahati haikuwa upande wetu ila mpira vijana walicheza vizuri
Haya wale wa kulaumu na kuhamisha goli.... Leo tuhamishie lawama kwa nani?
Mje!
Nani hakuwepo leo?
Amunike ni mchawiHaya wale wa kulaumu na kuhamisha goli.... Leo tuhamishie lawama kwa nani?
Mje!
Nani hakuwepo leo?
Amunike alileta Biology?Ni kweli kaka ukikumbuka hii team imekaa kama wik moja bad chemistry haikuw nzur ila amunike alikaa na team mwez mzim ila haikuwa na chemistry yoyote
Hakuna cha Chemistry wala Biology hovyo ni hovyo tu, hakuna hovyo yenye afadhali.Ni kweli kaka ukikumbuka hii team imekaa kama wik moja bad chemistry haikuw nzur ila amunike alikaa na team mwez mzim ila haikuwa na chemistry yoyote
Yule ndio Paul Boxer .kiboko ya Okwi..Kapombe astaafishwa rasmiEtienne Apewe Team Mazima
Team Imecheza Vizuri Ila Tatizo La Finishing Pale Mbele Ni Shida.
Na Viungo Wa Kupeleka Team Mbele Wao Wanapiga Back Pass. Ajibu Alivyoingia Ndo Akawa Anajaribu Kusogeza Team Mbele Yaan Hakuna Kugeuka Nyuma. Safi!
Big Up Kwa Beki Nyuma Wamejitahidi. Hasa Kale Kajamaa Cha Kulia Sijui Paul Nanii!
Nimesema Tu Me Sio Mzalendo
Noma Sana BoxerYule ndio Paul Boxer .kiboko ya Okwi..Kapombe astaafishwa rasmi