Taifa Stars ikisheheni nyota wa Yanga yaibamiza Somalia

Daah mnalazimisha sana kupata attention
dadavua please, kwani kuna ubaya gani kuchambua mechi kwa umakini kama nilivyofanya?

attention ya kitu gani?
 
Baada ya kutengeneza nafasi nyingi za kufunga, ikafunga magoli mangapi?
ilionekana wazi Kibu Denis hakuwa mchezoni na nafasi nyingi zilizotengenezwa ziliharibikia miguuni pake, kwani we ulionaje boli?
 
dadavua please, kwani kuna ubaya gani kuchambua mechi kwa umakini kama nilivyofanya?

attention ya kitu gani?
Hivi unajua somalia huwa tunawafunha kuanzia 5+? Somalia imechukua wachezaji kariakoo au uliona timu ikiwasili?
 
Hivi unajua somalia huwa tunawafunha kuanzia 5+? Somalia imechukua wachezaji kariakoo au uliona timu ikiwasili?
Alafu hapo Somalia mchezo wao walichezea nyumbani!
 
huuu ujinga ulisha katazwa ila vilaza wachache bado mnavichwa vigumu, iliyo kuwa inacheza ni taifa stars na simba wa yanga.
 
Uyanga na usimba umefika mbali sana hasa kwa mashabiki maandazi kama wewe.

Pale hawakucheza yanga wala simba ni taifa stars. Ndo maana yule mfungwa alisema wenye akili ji wawili tu pale utopoloni.
muombe Mungu akufungue ujue tofauti ya intelligence, truth, logic, motives and bias. ukielewa wafundishe na wanao, kuna koti la ujinga umelivaa livue kama vipi.

Tunaanza tena kampeni ya unbeaten record kwa kuwapasua ngao ya jamii unasemaje ? do you have the muscles?

Mwaka huu ligi mpya tunabeba makombe na tuzo zote Makolo fc aka Mikia mtalazwa hospital ICU kabisa maana hasira zenu kupokwa makombe na kupasuliwa CCM Kirumba na kukosa pesa za usajili wa kiwango cha Yanga zimefanya Kolo FC wote muwe mataahira tena mko wakali kama chui mnatukana ovyo kila mtu na kwa kila jambo hata yale ambayo hamjayaelewa!!

Tukutane tena Mkapa mpate kuangusha tena machozi!! Yanga tamu asikwambie mtu!
 
Ni kweli kabisa
 
Kwani yanga si ndo wali droo na somalia au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…