Taifa stars inaweza chukua AFCON 2019

Taifa stars inaweza chukua AFCON 2019

Labda tubebe afcon ya kuchorwa.Hata goli 2 hatutafunga
Tutarudi Kama tulivyoenda
 
Mbona unakua mtu wa mashaka hivo.. ? Kila timu ina haki ya kuchukua kombe
Labda tubebe afcon ya kuchorwa.Hata goli 2 hatutafunga
Tutarudi Kama tulivyoenda
 
Wakuendekeza ushamba kweli watakua mboga hata ya kenya
Umenichekesha hapo kwenye mboga ya kila mtu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]
 
wakuu habar za muda huu,sote tunafahamu chama la wana taifa star imeshaelekea huko misri,na Leo wanacheza mechi ya kirafiki na taifa hilo,je kwenye kundi letu timu yetu ni underdog au tujipe moyo kama wanasimba walivyojipa moyo kwa upande wa kundi lake
 
Hakuna timu ya Taifa iliyoenda misri. Misri wameenda Yanga au CCM. Ushahidi huu hapa
tapatalk_1560339012940.jpeg
View attachment 1126325
 
Taifa stars kuifunga algeria au senegal inawezekana kabisa maana kushinda mechi sometime bahati inahusika lakini kuchukua kombe ni ngumu. Huwezi kuvuka kwa mechi za mtoano tatu kwa bahati, ili uvuke inakuhitaji uwezo ushabiiane na wa viwango vya juu. Ni kama vile tu world cup, uefa hata CAF haichukuliwi na vilaza.
 
Hata mimi tangu asubbuhi naona kuwa leo Misri anapgwa

Afu watanzania ndo wataamka, eeh kumbe timu ipo fresh, mechi itakayofuata watapigwa, lakini overall tutapita stage ya kwanza
 
Naomba msinipige mawe kabla sijaeleza.

1. Nimeangalia timu zote sijaona timu ambayo ina mastars wengi kama miaka ya nyuma au timu ambayo haifungiki. Timu nyingi zina wachezaji toka timu za kawaida sana labda na star mmoja.

Mfano Nigeria ina Iwobi pekee yake ambaye yupo kwenye timu bora. Wengine ni timu ambazo naweza sema za kawaida.


2. Wakibadili mindset na kuona wao wana haki ya kuchukua kombe na wakakomaa inawezekana.. ninapo sema kukomaa yaani ile mkifungwa mnatoa hadi machozi kama brazil ilivyo fungwa na germany . Sasa utakuta timu imefungwa michezaji inacheka au inapongezana .

3. Wakicheza kama timu na kuacha show off .. watapiga senegal na kenya mabao mengi sana. Ila wasipo cheza kama timu taifa star ni mboga ya kila mtu.

4. Wakiacha ushamba na uzembe watafanya vizuri.

5. Waache kulaumiana.

Ni zamu yetu kubeba kombe.
Unachukua Kombe na wachezaji Mandawa,Ulimwengu sijui nani... Hao ni wanyamakazi wanatakiwa kuwa mashambani huko majarubani sio kucheza soka
 
Sijasema tusiwaogope ila wanafungika mkuu.. wengi wao wanacheza vilabu vya kawaida sana.
Brother hauko serious,timu ina wachezaji wa Mancity, Porto, Galatasalay, Fenberce ni vilabu vya kawaida? Stars hata wakifunga goli moja ni mafanikio makubwa
 
Watanzania wenyewe sisi wenye roho za kuombeana mabaya. Sijui
 
Si mtu wa mpira wewe.... Ungejua viumbe waliokuwa nao... Braza.

Aah aaah aab tuombe MUNGU tu.
 
Back
Top Bottom