Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,363
Hii mechi inaoneshwa kupitia bein sports na azam media,hao ndio wamepewa vibali na caf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanye kazi mkuu.TBC jamani msituchinjie baharini! naandika kwa uchungu mpaka nataka kulia........
Mkuu, hebu muulize yeye kwa nini anaipendelea mno EPL kuliko VPL? Huo si ubaguzi?Ndugu yangu huo ndio ukweli lazima wataipa support Egypt sasa unadhani Tanzania acheze mechi yoyote hapo Bein watakuja? Kwa lipi?. Ni normal mtangazaji kupendelea kwao kama vile mtangazaji wa Tz atapendelea Tz. No wazungu tu peke yao hata kama wanapendelea lakini wana weledi mkubwa hawaoneshi wazi.
Hamia timu zenye kuleta Furaha... Achana na Stars utapata magonjwa ya ajabu ajabu yatakuathiri hadi nguvu zako za siri kwa mapenzi mabovu... Tunawanyoa and then tunawaacha mnyong'onyee mkuugua Shauri zenuMkuu wewe Mmisri?
TBC wataonyesha?
Bein sport lazima waonyeshe kwa sababu wao wanahaki ya kuonyesha matangazo afrika ya kaskazini kwahiyo Egypt Ndio sababu ya kuonyesha mechi hiyo,
Na mtangazaji atakuwa akiitakia Egypt tu ushindi hutamsikia akisifia Tz
Mkuu wewe Mmisri?
WAONGO JAMAN mech live @ ZNBC 2
Hapana mechi itaoneshwa Bein sport chanel 1 tu ambayo ni kiarabu na sio duniani. Lazima ujuwe Egypt ni part ya MENA na beinsport wana customers wengi sana kwa hiyo mechi hasa inalengwa wa Misri waione.
Hakuna anaeleta ligi hapa sote tunaelimishana! Kwaiyo Sasa wewe unataka taifa stars na yenyewe ionyeshwe? Mi naona Bora hata wasiionyeshe mpaka pale kiwango chao kitakapokua juu like Algeria,ivory cost,Tunis nk hapo sawa! Ni hivyo mkuu