Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
- Thread starter
- #41
Ilitakiwa mechi isionyeshwe then tuwafanyie mambo ambayo wanatufanyiaga tukiwa kwao
Mkuu, usiamini uwongo huo...vile vilikuwa visingizo tu kwani kipindi kile kulikuwa hakuna TV na mitandao kama sasa. Bongo hatuna mpira bali ubabaishaji tu. Si ulisoma magazeti ya jana jinsi Mkwasa na wachezaji wake wlivyokuwa wanajitapa kuwa watafia uwanjani? Mbona hatukuona jitihada zozote zile wala bidii ya ukabaji tu kulikuwa hakuna.