Taifa stars leo tunashinda na kusonga

Pamoja na kejeli zoote bado wanaipigania nchi yako
Wapumbavu tu hakuna mpiganoa nchi maana hata nchi haiwapiganii ni haki yao ya msingi kufungwa na kila timu watakayocheza nayo mpira wa bongo ni manyoya tu uzalendo ni pamoja na kukosoa sio kusifia sifia tu mfano huyo wanaemuita samagoli hana kitu upepo tu ulimpitia anachocheza hakionekani
 
Wacheze kuelekea Goli la Congo na washambulie waache tabia chafu ya kucheza kukimbilia golini kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…