Taifa stars leo tunashinda na kusonga

Taifa stars leo tunashinda na kusonga

Wapumbavu tu hakuna mpiganoa nchi maana hata nchi haiwapiganii ni haki yao ya msingi kufungwa na kila timu watakayocheza nayo mpira wa bongo ni manyoya tu uzalendo ni pamoja na kukosoa sio kusifia sifia tu mfano huyo wanaemuita samagoli hana kitu upepo tu ulimpitia anachocheza hakionekani
Samagol kweli sasa ni box tupu lkn alishawahi thubutu kufanya kitu.

Lakini wewe labda kuinyea ardhi ya Tanzania tu hakuna ulichofanya
 
Kimsingi katika kundi hili, Tanzania ilikuwa na uwezo wa kutoka sare mechi moja na kushinda moja. Mategemeo yalikuwa kumfunga Zambia halafu sare na DRC.

Kama TZ itamfunga DRC leo itakuwa ndani ya mategemeo yale yale isipokuwa tu huo ushindi ulikuwa mrahisi zaidi katika mechi na Zambia.
 
Kimsingi katika kundi hili, Tanzania ilikuwa na uwezo wa kutoka sare mechi moja na kushinda moja. Mategemeo yalikuwa kumfunga Zambia halafu sare na DRC.

Kama TZ itamfunga DRC leo itakuwa ndani ya mategemeo yale yale isipokuwa tu huo ushindi ulikuwa mrahisi zaidi katika mechi na Zambia.
Mungu saidia
 
Back
Top Bottom