Jinga kabisa kujifanya kujua kumbe Zero sifuriHilo goli linatofauti gani na goli la mbuzi kwenye k ya punda
Poga mambwa hayooooo pigaaaa ....Ukifungwa usibadirishe gear ntakutukana
Sawa mimi kwemye mpira sijui kitu ila hata kipofu akipapasa anakua mwiba na ngoziJinga kabisa kujifanya kujua kumbe Zero sifuri
Shabiki maandaziPoga mambwa hayooooo pigaaaa ....
Mimi sina timu nashabikia ila ni aibu kwa tz mpira wetu hausogei bora wapigwe tu mambwa koko
Samagol kweli sasa ni box tupu lkn alishawahi thubutu kufanya kitu.Wapumbavu tu hakuna mpiganoa nchi maana hata nchi haiwapiganii ni haki yao ya msingi kufungwa na kila timu watakayocheza nayo mpira wa bongo ni manyoya tu uzalendo ni pamoja na kukosoa sio kusifia sifia tu mfano huyo wanaemuita samagoli hana kitu upepo tu ulimpitia anachocheza hakionekani
Jamaa ni kilaizer sanaShabiki maandazi
Bora umepigwa jiweNjaa au!?
Mrembo si tupo pamoja eee?Dua zenu Fc kazi wanayo leo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu saidiaKimsingi katika kundi hili, Tanzania ilikuwa na uwezo wa kutoka sare mechi moja na kushinda moja. Mategemeo yalikuwa kumfunga Zambia halafu sare na DRC.
Kama TZ itamfunga DRC leo itakuwa ndani ya mategemeo yale yale isipokuwa tu huo ushindi ulikuwa mrahisi zaidi katika mechi na Zambia.
Ni kweli kabisa.....Samagol kweli sasa ni box tupu lkn alishawahi thubutu kufanya kitu.
Lakini wewe labda kuinyea ardhi ya Tanzania tu hakuna ulichofanya
Kusonga ugali sawaNajua hatuna imani na Taifa stars Wachezaji mmoja mmoja lakini leo tutawashinda Congo kwa 1:0 na tutasonga mbele.
Zambia atafungwa na Morroco 2:1
Asanteni
Mnashinda njaa ama mnasonga ugali?!Najua hatuna imani na Taifa stars Wachezaji mmoja mmoja lakini leo tutawashinda Congo kwa 1:0 na tutasonga mbele.
Zambia atafungwa na Morroco 2:1
Asanteni
Hamna team ya kumfunga kongoDR Wana tension so tukitumia vizuri Kwa kuanza kupata BAO lazima wata panic
Una uhakika?Hamna team ya kumfunga kongo
Ova
Si unakulaga ugali?Mnashinda njaa ama mnasonga ugali?!