Wakuu
Kama mnavoona hali ya mechi ya leo, mimi siumii Stars Kutokwenda AFCON naumia hili suala la nusu bei likitupita sisi wadau wa vinywaji.
Dua na sala ziko kwenu na ninyi mjitume sana sana ili mambo yawe mazuri.
Mkumbuke mkipambana kuanzia Dompo, Saint Anne, Dodoma Wyne, Robertson, K Vant, Konyagi, Grants, Cognac whisky, JackDaniels, Gongo, Ulanzi, Togwa, Kimpumu, Mbege, Kayoga, Mnazi, yote hayo nusu bei jamani pambaneni ili tufirahie kama taifa ndugu zangu
Kama mnavoona hali ya mechi ya leo, mimi siumii Stars Kutokwenda AFCON naumia hili suala la nusu bei likitupita sisi wadau wa vinywaji.
Dua na sala ziko kwenu na ninyi mjitume sana sana ili mambo yawe mazuri.
Mkumbuke mkipambana kuanzia Dompo, Saint Anne, Dodoma Wyne, Robertson, K Vant, Konyagi, Grants, Cognac whisky, JackDaniels, Gongo, Ulanzi, Togwa, Kimpumu, Mbege, Kayoga, Mnazi, yote hayo nusu bei jamani pambaneni ili tufirahie kama taifa ndugu zangu