Taifa stars squad na uongo wa umri

Kocha anaangalia umri katika kuchagua wachezaji au perfomance?
naona sasa unanichosha bro!
uliza maswali yenye mantiki kaka!
haya anaweza kuweka plani yake wachezaji wenye umri mkubwa akawaita kumi, hao waliobaki ni vijana! hapo je?
au anaweza akaita wakongwe tu, au akaita makinda tu! utajuaje kama kocha anaangalia vitu ulivyotaja? au upo ndani ya akili ya amunike?

sirudii
 
Huyu naye anajiita Mtanzania Mzalendo,kazi ipo kweli kweli kwa sampuli ya watu wa aina hii.
 
Huyu naye anajiita Mtanzania Mzalendo,kazi ipo kweli kweli kwa sampuli ya watu wa aina hii.
Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa kwenye huo umri ila umenistua kwa Ajib japo haimaanishi napinga
 
Aisee kama ni kweli hatuna timu., tuna baraza la wazee
 
Nimekustua (nimekushtua)kwa Ajib?Mimi ndio nilieanzisha uzi huo wa umri wa wachezaji?Mimi nimekoti na kuweka maoni yangu.

Umekula mahararage ya wapi mdau wangu muda huu?
Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa kwenye huo umri ila umenistua kwa Ajib japo haimaanishi napinga
 
Yawezekana kuna udanganyifu kwenye umri kweli lakini nawe unaleta udanganyifu wako mwingine!
*
*
Mfano kwa halisi ya sammata unayodai wewe, hiyo naikataa kwa nguvu kubwa! Sammata hawezi kufikisha miaka 30 Abadan...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…