Taifa stars squad na uongo wa umri

Taifa stars squad na uongo wa umri

Sasa mnashangaa nni huyu ana 19 yrs hapo alipo
 

Attachments

  • Screenshot_20180617-121624.jpg
    Screenshot_20180617-121624.jpg
    57.2 KB · Views: 26
Write your reply...
himid mao siku nyingine ana 24 au 26 haizidi hapo!
team imejaa vijeba vimekomaa havifananii na huo umri wanaosema!
 
bOKO AMECHEZA kIGI kUU mIAKA KUMI MFULULIZO,UNAWEZA HISI UMRI WAKE!🙂🙂
 
1.Mbwana samata - 26 halisi 30
2. Simon msuva - 25 halisi 28
3. Ulimwengu -26 halisi 28
4. Ibrahim ajib -22 halisi 31
5. Jogn bocco -29 halisi 34
6. Farid mussa - 22 halisi 27
7. Himid mao -26 halisi 33
8. Mdathir yahya - 24 halisi 30
9. Gadeiel michael -22 halisi 27
Wafuatao ndo wanaumri sahihi bila kupunguza
10. Kelvin yondani - 34
11. Aggrey moris - 35

VIJEBA STARS

Source sofascore.com
Nashauri serikali iingilie swala la wachezaji kudanganya umri haiwezekani game ya misri tufike mara moja golini sababu ni hii kwamba kikosi chetu ni cha wazee waliodanganya umri na vijeba. Tukuze soka la watoto kwanza hawa vijeba watanipa pesa za kubet sanaa mechi zote tatu naua tu.
Ajibu hayumo AFCON. Nimecheki Uganda Okwi ana 26 halisi 38.
 
Hii nyuzi inafaida gani kwetu? Fikirieni faida na hasara ya mnayoyaandika kwanza mazee.
 
1.Mbwana samata - 26 halisi 30
2. Simon msuva - 25 halisi 28
3. Ulimwengu -26 halisi 28
4. Ibrahim ajib -22 halisi 31
5. Jogn bocco -29 halisi 34
6. Farid mussa - 22 halisi 27
7. Himid mao -26 halisi 33
8. Mdathir yahya - 24 halisi 30
9. Gadeiel michael -22 halisi 27
Wafuatao ndo wanaumri sahihi bila kupunguza
10. Kelvin yondani - 34
11. Aggrey moris - 35
VIJEBA STARS
Source sofascore.com
Nashauri serikali iingilie swala la wachezaji kudanganya umri haiwezekani game ya misri tufike mara moja golini sababu ni hii kwamba kikosi chetu ni cha wazee waliodanganya umri na vijeba. Tukuze soka la watoto kwanza hawa vijeba watanipa pesa za kubet sanaa mechi zote tatu naua tu.
Nyie ndo wachawi
PUMBAVU kabisa
Kacheze wewe basi mwenye halisi
PUMBAVU¿¿¿
 
Hawezi chakachua tena kwani caf wanarekodi zake,
Jidanganye mzee..wanchofanya wanatengeneza vyeti feki vya kuzaliwa kupotia haohao Rita...na wanavitumia fresh tu...kama Hugo kelvin john hapungui miaka 20-21 hadi 23 lakini kwenye cheti cha Rita anamiaka 17..

Salama anamiaka 20 lakini uhalisia anamiaka 26
 
Umri una maana gani kwenye AFCON
kwanza umri sahihi unaendana na wakati sahihi!
wenzetu uko dunia ya tatu wanajali swala la umri ndo maana haishangazi mbappe ana 20yrs ya ukweli!
angesemaga aende kucheza kwao cameroon leo hii angesema ana miaka 17!
mwanamichezo mwenye umri mkubwa moves,skills,phisycal ya mwili(utimamu wa mwili) ni wa kusuasua! na akiumia anachelewa kupona kama santi cazola,shomari kapombe
sirudii!
 
Siyo wachezaji tu,Tz ofisi nyingi za Serikali wengi inatakiwa wawe wamestaafu ila wanasinzia tu maofisini kwa kudanganya umri,mtu ana 65lakini vyeti vinaonyesha 49.......bora wachezaji nikazi ya kuonekana wanafanya,ila hawa wa maofisini ndiyo wanakwamisha mengi sana
 
kwanza umri sahihi unaendana na wakati sahihi!
wenzetu uko dunia ya tatu wanajali swala la umri ndo maana haishangazi mbappe ana 20yrs ya ukweli!
angesemaga aende kucheza kwao cameroon leo hii angesema ana miaka 17!
mwanamichezo mwenye umri mkubwa moves,skills,phisycal ya mwili(utimamu wa mwili) ni wa kusuasua! na akiumia anachelewa kupona kama santi cazola,shomari kapombe
sirudii!
Rudia kwa msisitizo ili tunaoelewa polepole tuelewe pia
 
kwanza umri sahihi unaendana na wakati sahihi!
wenzetu uko dunia ya tatu wanajali swala la umri ndo maana haishangazi mbappe ana 20yrs ya ukweli!
angesemaga aende kucheza kwao cameroon leo hii angesema ana miaka 17!
mwanamichezo mwenye umri mkubwa moves,skills,phisycal ya mwili(utimamu wa mwili) ni wa kusuasua! na akiumia anachelewa kupona kama santi cazola,shomari kapombe
sirudii!
Kocha anaangalia umri katika kuchagua wachezaji au perfomance?
 
Back
Top Bottom