momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,013
- 2,089
efm radio 93.7fm watatangaza live
Nimeskia super spot watakuwa live mwenye taarifa tafadhal
Ni kweli super sport blittz wapo hewani channel 200
Ni kweli super sport blittz wapo hewani channel 200
Ni baada ya Lowasa kuitakia ushindi Stars
Kama TBC hawana uwezo wangeingia mikataba na vituo binafsi vya TV kurusha matangazo ya mechi zinazohusu timu ya taifa kwa masharti ya kuonyeshwa pia kupitia TBC 1. Kwa mfano kama mechi inarushwa na Azam TV, basi ionekane kupitia Azam One na TBC 1. Wananchi wana haki ya kuiona timu yao ya taifa.
hongera taifa stars ,kaz tunay kwa algeria..
Mbona Jamal Malinzi alishalitolea ufafanuzi tayari jana kuhusiana na miundombinu ya media za malawi kuwa hawajawezeka kwenye media na hawataonyesha
Tumeisha toka tayari!!
Desert Foxes haiwezi tolewa na TZ
wale wana fitna nyingi za kimpira hasa wakiwa kwao ,game y nyumban tukiwapga kam 3 ivi kwao hawachomoki..