Naangalia matangazo ya moja kwa moja kwenye tv. Vijana wetu wanajitahidi sana. TBC1 na Star tv wanaonyesha mkutano Wa Rais mtarajiwa,Pombe,wako Moshi uwanja Wa mashujaa
tbc 1 huwa wanarusha mechi za taifa stars sa sijui kama na ya leo hii watarusha
samataaaaaaaaaaa tz 1-0 malawi
ila beki zetu wanafanya makosa mengi sana yanaweza kutugarimu
samataaaaaaaaaaa tz 1-0 malawi