Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hivyo ni vituo vya CCM usitaraji hata siku moja wakuoneshe jambo la kitaifa wakati wa mihadhara ya CCM...
Naangalia matangazo ya moja kwa moja kwenye tv. Vijana wetu wanajitahidi sana. TBC1 na Star tv wanaonyesha mkutano Wa Rais mtarajiwa,Pombe,wako Moshi uwanja Wa mashujaa