We Balantanda, nadhani hunielewi. Ni kweli kabisa maneno yako na ni kweli Stars imeshinda na tunafurahia sana. Ila unasahau point muhimu kwenye maelezo yako. Kuwa wachezaji wa Yanga ndiyo waliofunga. Hii ina maana kubwa sana. Huwezi kuwa na wafungaji ambao hawana mafunzo mazuri huko kwako. Kondic amewafunza vema. Na team yoyote ile, ushindi huwa ni magoli na si chenga wala kuunganisha pass. Ukiwa Ulaya hata ukiunganisha pass elfu moja, kama hujafunga wewe huna thamani kabisa na unaweza kuuzwa kwa mkopo kwa team yoyote, tofauti na wengine wanaouzwa kwa cash.
Sasa wewe hapa huelewi nini?
Sasa subirini muone Wahishimiwa wanavyojifanya wao ndio walezi wa Taifa stazz!!!!!!
Lazma waitwe Dom, Kisha wapitishwe ukumbini na wachangiwe vijisent!!!!
Muda wote wa maandalizi walikuwa kimyaaa!!! WANANIBOA!!!!!!
Mara hii wavae vizuri walau basi maana last time wengine waliingia na kandambili! ( nadhani walikuwa wachezaji wa Yanga wale )
Mara hii wavae vizuri walau basi maana last time wengine waliingia na kandambili! ( nadhani walikuwa wachezaji wa Yanga wale )
Tena wengine walikuwa wanasinzia ukumbini. Sijui kwakuwa walichoshwa na safari (maana walilazimishwa waende Dom bado wa-reo-reo) au walikuwa wanawaiga wazee wa mbonji ukumbini!!!!!! Vere disgusting!!!!!!!!!
Walikuwa wamechoka mkulu,,walivotoka Ougadougou walipitia Mwanza kisha wakaenda Dodoma so hawakupata hata muda wa kupumzika maana kama ulivosema walilazimishwa so kusinzia ukumbini halikuwa kosa lao
Taifa stars ina wachezaji wengi Yanga but Stars wakishinda wa2 wanamssifu Kondic Huyo kocha ananiboa anavyomweka benchi Tegete na kuwapanga wakenya Hakuna cha Simba wala Yanga but TAIFA STARS
MAXIMO katusaidia now tunacheza mpira wa kueleweka hata goli lapili la jana ile krosi ya Ngasa ilikuwa balaa but bado tuna tatizo la STRIKER kila siku magoli wanafunga defender na midfielder