Mtaalam
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 1,371
- 251
sio vile mimi nataka wewe jibu hayo maswali tu halafu uone point yako!kwanini basi hiyo timu yetu ya yanga haijawahi fika kokote?au hao kina ngasa na shadrack nsajigwa wameanza cheza msimu huu hawakwepo msimu uliopita?
naona na kule wawakilishi wetu wa africa kwenye world cup ya clubs wamisri wale wameshafungashwa virago na timu ya mexico..
tungojee man utd tukajichukulie kombe letu tu
naona na kule wawakilishi wetu wa africa kwenye world cup ya clubs wamisri wale wameshafungashwa virago na timu ya mexico..
tungojee man utd tukajichukulie kombe letu tu