Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mtoto Mrisho Ngasa anawanyanya kweli kudadadeki! tatizo lake Yanga tuu
Mkuu Masatu, Vipi matokeo bado ni vile vile? na ni dakka ya ngapi sasa?
Masatu, wanacheza Yanga huko Kumbe teh teh teh teh !!
Mkuu Ushi,
Japo huyu mtoto ni Yanga lakini namkubali. sudan wanashambulia kweli sasa ongezeni maombi huko dakika 29 bado tunaongoza 1-0
Huyu kipa wetu MAGUMASHI kweli anachachawa ile mbaya dizaini mapepe hivi....
tehe tehe tehe teh mbavu zangu.Dogo ni mzuri ila lile umbile lake nadhani linamkoshesha soko la mpira wa kulipwa. Nadhani alipata utapiamlo alipokuwa mdogo
Sema mwanangu FUSO mziki wa remote!
Mkuu tangu mpira umeanza vipi, je tumewadhibiti vyakutosha
kiasi labda tunaweza kuibuka na ushindi au hata droo?.
Wasudan wana mbinu chafu kama wamisri kuna filimbi zinalia ovyoo kutoka kwa washabiki kuwachanganya vijana lakini wapo ngangari. Mpira umesimama huyu kipa maepep DIHILE kaumia dakika ni 42 bado 1-0