Taifa Stars waenda Cape Verde bila Dreamliner

Hawa watu kwanini huwa hawawezi kusema ukweli?
 
Watu wanaogopa kukata maana wakirudi watadaiwa kodi/ au watafufuliwa kodi za zamani
 
Kwani walijuwa wataenda na dream liner ?????
 
Ukiwa na watawala waongo kwa kiwango hiki Nchi inaumia Sana Kitu sijaelewa Hawa watu wanadhani marufuku zao kuhusu media wanadhani wote tunaangalia tbc 1daah
 
Kwani bomberdier zipo wapi?au bado zipo matengenezo?
 
Ashtakiwe kwa kutukana Airport ya watu mjinga mjinga uyu
 
Hivi hawa wanasiasa wanatuona sisi wote ni wajinga na mbumbumbu, swine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…