Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,837
Jana kaweka vibabu vipaki bus..jumanne anaanza Feisal mwenye dimba lake amwage marashi ya karafuuUtopolo hakuna wachezaji wa kucheza National Team
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana kaweka vibabu vipaki bus..jumanne anaanza Feisal mwenye dimba lake amwage marashi ya karafuuUtopolo hakuna wachezaji wa kucheza National Team
Namungo ni nje?Vipi kichuya na salamba?
Sizungumzii walio enda TRIALS. Nazungumzia watu kama wakina Maka Edward, Yohana Mkomola, Saimon Msuva .HahahahaVipi kichuya na salamba?
Wanajitia uchizi tu.ZILE tano tano za misri na congo vp?
Kwani hakuna mawakala wapumbavu?Kuna 'Wakala' mmoja wa Wachezaji mkubwa jana nilikaa nae mahala tunatizama 'Game' akasema Wachezaji wa Simba SC 'wanauzika' sana Ulaya.
Wewe Bila Shaka ni rungu fcHuwezi ukawa na Timu ya Taifa yenye Wachezaji mahiri wa Klabu ya Simba SC kama akina Manula, Kapombe, Tshabalala, Nyoni, Mkude na Boko halafu ukafungwa Goli / Bao nyingi na Timu yoyote ile. Hongera sana Kocha wa Taifa Stars Ndayiragije kwa Kutupangia Wachezaji wengi wa Timu yangu bora ya Simba SC. Ungewapanga wengi wa Yanga SC jana 'tungekula' hata 15 pale.
Sasa nakuomba mno Kocha wangu Ndayiragije ambaye nakumbuka nilishakaa mahala na Wewe na ukaniambia kuwa kama kuna Timu ambayo si tu unaipenda bali pia inacheza Soka safi na Wachezaji wake wengi wana 'Vipaji' vikubwa nchini ni Simba SC katika Mechi yako ya 'Keshokutwa' ambayo ni ya marudiano 'Kikosi' chako kiwe hivi tafadfhali na wala usikibadilishe kabisa......
1. Aishi Manula ( Kipa bora Tanzania ambaye jana kaonyesha uwezo mkubwa mno wa Kudaka na anastahili pongezi nyingi )
2. Shomary Kapombe ( Beki ambaye hata angeenda Real Madrid au PSG au Liverpool yangu bado angepata namba Kikosi cha Kwanza )
3. Mohammed Hussein 'Tshabalala' ( Mchezaji ambaye hata Lionel Messi akimuona atawaomba FC Barcelona Wamsajili upesi sana )
4. Bakari Nondo ( ambaye kama mambo yakienda vyema huenda akatua Simba SC )
5. Erasto Nyoni ( Mchezaji ambaye tokea aanze Kucheza Soka Akademi hadi leo hajachuja na hatochuja ng'o hadi akistaafu )
6. Jonas Mkude ( Mdogo wangu na Mwanangu Mwenyewe na Kiungo ambaye bado sijaona wa Kumfananisha nae nchini Tanzania )
7. Simon Msuva ( ambaye hakuna asiyemjua kuwa anaipenda Simba SC tokea akiwa Tumboni mwa Mama yake )
8. Salum Aboubakar ( ambaye anajulikana ni Simba SC sana ila Baba yake anamtishia akija tu Simba SC atamuachia Laana )
9. Ditram Nchimbi ( ambaye kama mambo yakienda vyema nae atatua Simba SC muda wowote ule )
10. John Boko ( Mshambuliaji aliyezaliwa tu kuja Kufunga Magoli na kutoa Pasi za Kufunga kwa Wenzake )
11. Farid Musa ( ambaye 99% ya Marafiki zake wa Karibu hasa Wachezaji ni wa Simba SC na muda wowote anatua Msimbazi )
Na kama Kocha Ndayiragije ukiamua Kufanya 'Mabadiliko' basi ingiza Wachezaji hawa tu Wawili Said Ndemla na Muzamiru Yassin wa Yanga SC NO.
fala kweli wewe mlipopigwa hamsa hamsa hao wachezaji hawakuwepo?Huwezi ukawa na Timu ya Taifa yenye Wachezaji mahiri wa Klabu ya Simba SC kama akina Manula, Kapombe, Tshabalala, Nyoni, Mkude na Boko halafu ukafungwa Goli / Bao nyingi na Timu yoyote ile. Hongera sana Kocha wa Taifa Stars Ndayiragije kwa Kutupangia Wachezaji wengi wa Timu yangu bora ya Simba SC. Ungewapanga wengi wa Yanga SC jana 'tungekula' hata 15 pale.
Sasa nakuomba mno Kocha wangu Ndayiragije ambaye nakumbuka nilishakaa mahala na Wewe na ukaniambia kuwa kama kuna Timu ambayo si tu unaipenda bali pia inacheza Soka safi na Wachezaji wake wengi wana 'Vipaji' vikubwa nchini ni Simba SC katika Mechi yako ya 'Keshokutwa' ambayo ni ya marudiano 'Kikosi' chako kiwe hivi tafadfhali na wala usikibadilishe kabisa......
1. Aishi Manula ( Kipa bora Tanzania ambaye jana kaonyesha uwezo mkubwa mno wa Kudaka na anastahili pongezi nyingi )
2. Shomary Kapombe ( Beki ambaye hata angeenda Real Madrid au PSG au Liverpool yangu bado angepata namba Kikosi cha Kwanza )
3. Mohammed Hussein 'Tshabalala' ( Mchezaji ambaye hata Lionel Messi akimuona atawaomba FC Barcelona Wamsajili upesi sana )
4. Bakari Nondo ( ambaye kama mambo yakienda vyema huenda akatua Simba SC )
5. Erasto Nyoni ( Mchezaji ambaye tokea aanze Kucheza Soka Akademi hadi leo hajachuja na hatochuja ng'o hadi akistaafu )
6. Jonas Mkude ( Mdogo wangu na Mwanangu Mwenyewe na Kiungo ambaye bado sijaona wa Kumfananisha nae nchini Tanzania )
7. Simon Msuva ( ambaye hakuna asiyemjua kuwa anaipenda Simba SC tokea akiwa Tumboni mwa Mama yake )
8. Salum Aboubakar ( ambaye anajulikana ni Simba SC sana ila Baba yake anamtishia akija tu Simba SC atamuachia Laana )
9. Ditram Nchimbi ( ambaye kama mambo yakienda vyema nae atatua Simba SC muda wowote ule )
10. John Boko ( Mshambuliaji aliyezaliwa tu kuja Kufunga Magoli na kutoa Pasi za Kufunga kwa Wenzake )
11. Farid Musa ( ambaye 99% ya Marafiki zake wa Karibu hasa Wachezaji ni wa Simba SC na muda wowote anatua Msimbazi )
Na kama Kocha Ndayiragije ukiamua Kufanya 'Mabadiliko' basi ingiza Wachezaji hawa tu Wawili Said Ndemla na Muzamiru Yassin wa Yanga SC NO.
Kutokana na hizi mentality zenu hizi ndiyo maana mimi natamani sana hivi vilabu 2 Vyura FC & Mbumbumbu SC vife na kupotezwa kabisa kutoka katika ulimwengu wa soka nchini ili Taifa Stars ianze kubeba ndoo za Afcon na kuwa regular participant kwenye WC finals.Huwezi ukawa na Timu ya Taifa yenye Wachezaji mahiri wa Klabu ya Simba SC kama akina Manula, Kapombe, Tshabalala, Nyoni, Mkude na Boko halafu ukafungwa Goli / Bao nyingi na Timu yoyote ile. Hongera sana Kocha wa Taifa Stars Ndayiragije kwa Kutupangia Wachezaji wengi wa Timu yangu bora ya Simba SC. Ungewapanga wengi wa Yanga SC jana 'tungekula' hata 15 pale.
Sasa nakuomba mno Kocha wangu Ndayiragije ambaye nakumbuka nilishakaa mahala na Wewe na ukaniambia kuwa kama kuna Timu ambayo si tu unaipenda bali pia inacheza Soka safi na Wachezaji wake wengi wana 'Vipaji' vikubwa nchini ni Simba SC katika Mechi yako ya 'Keshokutwa' ambayo ni ya marudiano 'Kikosi' chako kiwe hivi tafadfhali na wala usikibadilishe kabisa......
1. Aishi Manula ( Kipa bora Tanzania ambaye jana kaonyesha uwezo mkubwa mno wa Kudaka na anastahili pongezi nyingi )
2. Shomary Kapombe ( Beki ambaye hata angeenda Real Madrid au PSG au Liverpool yangu bado angepata namba Kikosi cha Kwanza )
3. Mohammed Hussein 'Tshabalala' ( Mchezaji ambaye hata Lionel Messi akimuona atawaomba FC Barcelona Wamsajili upesi sana )
4. Bakari Nondo ( ambaye kama mambo yakienda vyema huenda akatua Simba SC )
5. Erasto Nyoni ( Mchezaji ambaye tokea aanze Kucheza Soka Akademi hadi leo hajachuja na hatochuja ng'o hadi akistaafu )
6. Jonas Mkude ( Mdogo wangu na Mwanangu Mwenyewe na Kiungo ambaye bado sijaona wa Kumfananisha nae nchini Tanzania )
7. Simon Msuva ( ambaye hakuna asiyemjua kuwa anaipenda Simba SC tokea akiwa Tumboni mwa Mama yake )
8. Salum Aboubakar ( ambaye anajulikana ni Simba SC sana ila Baba yake anamtishia akija tu Simba SC atamuachia Laana )
9. Ditram Nchimbi ( ambaye kama mambo yakienda vyema nae atatua Simba SC muda wowote ule )
10. John Boko ( Mshambuliaji aliyezaliwa tu kuja Kufunga Magoli na kutoa Pasi za Kufunga kwa Wenzake )
11. Farid Musa ( ambaye 99% ya Marafiki zake wa Karibu hasa Wachezaji ni wa Simba SC na muda wowote anatua Msimbazi )
Na kama Kocha Ndayiragije ukiamua Kufanya 'Mabadiliko' basi ingiza Wachezaji hawa tu Wawili Said Ndemla na Muzamiru Yassin wa Yanga SC NO.
Akili zako zinakutosha,kichuya kacheza Enpi ya misri msimu mzima,salamba kaenda south Africa msimu mzima hizo ni trial?Sizungumzii walio enda TRIALS. Nazungumzia watu kama wakina Maka Edward, Yohana Mkomola, Saimon Msuva .Hahahaha
kapombe jana kaangushwa sana na msuva hakumsaidia kukaba ila zimbwe kafanya kazi sana boko nampongeza kwenye kukaba mana kule mbele mipira ilikuwa haifiki atleast kasaidia defence,manula hamna la kulalamika man of the match,nyoni kacheza poa sana,mkude na wenzae katikati wamevurundaKwa ule uchochoro alio ujenga Kapombe Jana.
Kwa kitendo cha Manula kudaka miguu badala ya Achour.
Ni kweli hawawezi kukosa timu ya kuchezea huko Ulaya hasa maeneo ya nchi za Scandinavia.
Akili zako zinakutosha,kichuya kacheza Enpi ya misri msimu mzima,salamba kaenda south Africa msimu mzima hizo ni trial?
Sijazungumzia miaka mi4 nyuma ambapo mwinyi kazimoto,Lyanga na Maguli
Kuna 'Mijitu' ni 'Mijuha' hapa hadi najiuliza kwanini CORONA haikuondoka nao tu. Hivi Taifa Stars imeshawahi Kufungwa Goli 5 na Misri na Congo?ZILE tano tano za misri na congo vp?
7 na AlgeriaKuna 'Mijitu' ni 'Mijuha' hapa hadi najiuliza kwanini CORONA haikuondoka nao tu. Hivi Taifa Stars imeshawahi Kufungwa Goli 5 na Misri na Congo?
Kila mwenye kujua Soka vyema na kabahatika pia kulicheza huwezi kutompanga Jonas Mkude na ukampanga 'Mla Halua' Feisal Salum. Hujishtukii?Jana kaweka vibabu vipaki bus..jumanne anaanza Feisal mwenye dimba lake amwage marashi ya karafuu
Kwani kabla ya Leo hii hawa akina Kichuya na Salamba kuwepo hapo Namungo FC walitokea Timu zipi labda? Hawakucheza nje? Nimeshakupuuza.Namungo ni nje?
Heshimu Mawazo ya wengine pia uwepo hapa Jamvini 'Mpuuzi' Wewe. Baki na unachokiamini na niache nami pia niamini kile nilichokiona ile Jana.Jamaa wewe Leo umeleta mada ya kijinga kabisa kuwahi kutokea kwenye jukwaa hili.
Kama kweli uliangalia mpira Jana bila mihemko ya Simba na Yanga utakubaliana nami kuwa sehemu ya viungo Haikuwa inaonekana Kazi yake, pia Mabeki ukimtoa Nyoni walio baki wote Walikuwa wanacheza kwa mtero mkubwa na kuwafanya jamaa wapeane pasi Hadi ndani ya box.
Ukija kwa Manula naweza kusema mwanzoni alianza kwa kupanic na pressure kubwa Hadi kupelekea kusababisha penati isiyo ya lazima.(Nashukru kipindi cha pili watu wa saikolojia walimuweka sawa akawa mchezoni).
Note; Kwa kiwango Cha wachezaji wetu Hawa Basi tutegemee michuano ya klabu bingwa ikaanza kuwa tunakula tano na kuendelea.