Taifa Stars ya Jana wangepangwa Wachezaji wengi ya Yanga SC tungefungwa hata Goli / Bao 15 Hongera Kocha

Taifa Stars ya Jana wangepangwa Wachezaji wengi ya Yanga SC tungefungwa hata Goli / Bao 15 Hongera Kocha

Jamaa wewe Leo umeleta mada ya kijinga kabisa kuwahi kutokea kwenye jukwaa hili.

Kama kweli uliangalia mpira Jana bila mihemko ya Simba na Yanga utakubaliana nami kuwa sehemu ya viungo Haikuwa inaonekana Kazi yake, pia Mabeki ukimtoa Nyoni walio baki wote Walikuwa wanacheza kwa mtero mkubwa na kuwafanya jamaa wapeane pasi Hadi ndani ya box.

Ukija kwa Manula naweza kusema mwanzoni alianza kwa kupanic na pressure kubwa Hadi kupelekea kusababisha penati isiyo ya lazima.(Nashukru kipindi cha pili watu wa saikolojia walimuweka sawa akawa mchezoni).

Note; Kwa kiwango Cha wachezaji wetu Hawa Basi tutegemee michuano ya klabu bingwa ikaanza kuwa tunakula tano na kuendelea.
 
Ujinga tu yaani huu ni ujinga tu,kwa hali hii bado utaendelea kuwa mjinga tu. Haya mmepigwa cha nguruwe sasa unajisikiaje hapo ulipo?
 
Hivi wachezaji wa simba na umri ule wataenda ulaya gani acha kuchezea akili za watu misimu mitano upo simba leo hii useme unaweza kucheza ulaya labda ulaya msimbazi
 
Huwezi ukawa na Timu ya Taifa yenye Wachezaji mahiri wa Klabu ya Simba SC kama akina Manula, Kapombe, Tshabalala, Nyoni, Mkude na Boko halafu ukafungwa Goli / Bao nyingi na Timu yoyote ile. Hongera sana Kocha wa Taifa Stars Ndayiragije kwa Kutupangia Wachezaji wengi wa Timu yangu bora ya Simba SC. Ungewapanga wengi wa Yanga SC jana 'tungekula' hata 15 pale.

Sasa nakuomba mno Kocha wangu Ndayiragije ambaye nakumbuka nilishakaa mahala na Wewe na ukaniambia kuwa kama kuna Timu ambayo si tu unaipenda bali pia inacheza Soka safi na Wachezaji wake wengi wana 'Vipaji' vikubwa nchini ni Simba SC katika Mechi yako ya 'Keshokutwa' ambayo ni ya marudiano 'Kikosi' chako kiwe hivi tafadfhali na wala usikibadilishe kabisa......

1. Aishi Manula ( Kipa bora Tanzania ambaye jana kaonyesha uwezo mkubwa mno wa Kudaka na anastahili pongezi nyingi )
2. Shomary Kapombe ( Beki ambaye hata angeenda Real Madrid au PSG au Liverpool yangu bado angepata namba Kikosi cha Kwanza )
3. Mohammed Hussein 'Tshabalala' ( Mchezaji ambaye hata Lionel Messi akimuona atawaomba FC Barcelona Wamsajili upesi sana )
4. Bakari Nondo ( ambaye kama mambo yakienda vyema huenda akatua Simba SC )
5. Erasto Nyoni ( Mchezaji ambaye tokea aanze Kucheza Soka Akademi hadi leo hajachuja na hatochuja ng'o hadi akistaafu )
6. Jonas Mkude ( Mdogo wangu na Mwanangu Mwenyewe na Kiungo ambaye bado sijaona wa Kumfananisha nae nchini Tanzania )
7. Simon Msuva ( ambaye hakuna asiyemjua kuwa anaipenda Simba SC tokea akiwa Tumboni mwa Mama yake )
8. Salum Aboubakar ( ambaye anajulikana ni Simba SC sana ila Baba yake anamtishia akija tu Simba SC atamuachia Laana )
9. Ditram Nchimbi ( ambaye kama mambo yakienda vyema nae atatua Simba SC muda wowote ule )
10. John Boko ( Mshambuliaji aliyezaliwa tu kuja Kufunga Magoli na kutoa Pasi za Kufunga kwa Wenzake )
11. Farid Musa ( ambaye 99% ya Marafiki zake wa Karibu hasa Wachezaji ni wa Simba SC na muda wowote anatua Msimbazi )

Na kama Kocha Ndayiragije ukiamua Kufanya 'Mabadiliko' basi ingiza Wachezaji hawa tu Wawili Said Ndemla na Muzamiru Yassin wa Yanga SC NO.
Wewe Bila Shaka ni rungu fc
 
Huwezi ukawa na Timu ya Taifa yenye Wachezaji mahiri wa Klabu ya Simba SC kama akina Manula, Kapombe, Tshabalala, Nyoni, Mkude na Boko halafu ukafungwa Goli / Bao nyingi na Timu yoyote ile. Hongera sana Kocha wa Taifa Stars Ndayiragije kwa Kutupangia Wachezaji wengi wa Timu yangu bora ya Simba SC. Ungewapanga wengi wa Yanga SC jana 'tungekula' hata 15 pale.

Sasa nakuomba mno Kocha wangu Ndayiragije ambaye nakumbuka nilishakaa mahala na Wewe na ukaniambia kuwa kama kuna Timu ambayo si tu unaipenda bali pia inacheza Soka safi na Wachezaji wake wengi wana 'Vipaji' vikubwa nchini ni Simba SC katika Mechi yako ya 'Keshokutwa' ambayo ni ya marudiano 'Kikosi' chako kiwe hivi tafadfhali na wala usikibadilishe kabisa......

1. Aishi Manula ( Kipa bora Tanzania ambaye jana kaonyesha uwezo mkubwa mno wa Kudaka na anastahili pongezi nyingi )
2. Shomary Kapombe ( Beki ambaye hata angeenda Real Madrid au PSG au Liverpool yangu bado angepata namba Kikosi cha Kwanza )
3. Mohammed Hussein 'Tshabalala' ( Mchezaji ambaye hata Lionel Messi akimuona atawaomba FC Barcelona Wamsajili upesi sana )
4. Bakari Nondo ( ambaye kama mambo yakienda vyema huenda akatua Simba SC )
5. Erasto Nyoni ( Mchezaji ambaye tokea aanze Kucheza Soka Akademi hadi leo hajachuja na hatochuja ng'o hadi akistaafu )
6. Jonas Mkude ( Mdogo wangu na Mwanangu Mwenyewe na Kiungo ambaye bado sijaona wa Kumfananisha nae nchini Tanzania )
7. Simon Msuva ( ambaye hakuna asiyemjua kuwa anaipenda Simba SC tokea akiwa Tumboni mwa Mama yake )
8. Salum Aboubakar ( ambaye anajulikana ni Simba SC sana ila Baba yake anamtishia akija tu Simba SC atamuachia Laana )
9. Ditram Nchimbi ( ambaye kama mambo yakienda vyema nae atatua Simba SC muda wowote ule )
10. John Boko ( Mshambuliaji aliyezaliwa tu kuja Kufunga Magoli na kutoa Pasi za Kufunga kwa Wenzake )
11. Farid Musa ( ambaye 99% ya Marafiki zake wa Karibu hasa Wachezaji ni wa Simba SC na muda wowote anatua Msimbazi )

Na kama Kocha Ndayiragije ukiamua Kufanya 'Mabadiliko' basi ingiza Wachezaji hawa tu Wawili Said Ndemla na Muzamiru Yassin wa Yanga SC NO.
fala kweli wewe mlipopigwa hamsa hamsa hao wachezaji hawakuwepo?
 
Huwezi ukawa na Timu ya Taifa yenye Wachezaji mahiri wa Klabu ya Simba SC kama akina Manula, Kapombe, Tshabalala, Nyoni, Mkude na Boko halafu ukafungwa Goli / Bao nyingi na Timu yoyote ile. Hongera sana Kocha wa Taifa Stars Ndayiragije kwa Kutupangia Wachezaji wengi wa Timu yangu bora ya Simba SC. Ungewapanga wengi wa Yanga SC jana 'tungekula' hata 15 pale.

Sasa nakuomba mno Kocha wangu Ndayiragije ambaye nakumbuka nilishakaa mahala na Wewe na ukaniambia kuwa kama kuna Timu ambayo si tu unaipenda bali pia inacheza Soka safi na Wachezaji wake wengi wana 'Vipaji' vikubwa nchini ni Simba SC katika Mechi yako ya 'Keshokutwa' ambayo ni ya marudiano 'Kikosi' chako kiwe hivi tafadfhali na wala usikibadilishe kabisa......

1. Aishi Manula ( Kipa bora Tanzania ambaye jana kaonyesha uwezo mkubwa mno wa Kudaka na anastahili pongezi nyingi )
2. Shomary Kapombe ( Beki ambaye hata angeenda Real Madrid au PSG au Liverpool yangu bado angepata namba Kikosi cha Kwanza )
3. Mohammed Hussein 'Tshabalala' ( Mchezaji ambaye hata Lionel Messi akimuona atawaomba FC Barcelona Wamsajili upesi sana )
4. Bakari Nondo ( ambaye kama mambo yakienda vyema huenda akatua Simba SC )
5. Erasto Nyoni ( Mchezaji ambaye tokea aanze Kucheza Soka Akademi hadi leo hajachuja na hatochuja ng'o hadi akistaafu )
6. Jonas Mkude ( Mdogo wangu na Mwanangu Mwenyewe na Kiungo ambaye bado sijaona wa Kumfananisha nae nchini Tanzania )
7. Simon Msuva ( ambaye hakuna asiyemjua kuwa anaipenda Simba SC tokea akiwa Tumboni mwa Mama yake )
8. Salum Aboubakar ( ambaye anajulikana ni Simba SC sana ila Baba yake anamtishia akija tu Simba SC atamuachia Laana )
9. Ditram Nchimbi ( ambaye kama mambo yakienda vyema nae atatua Simba SC muda wowote ule )
10. John Boko ( Mshambuliaji aliyezaliwa tu kuja Kufunga Magoli na kutoa Pasi za Kufunga kwa Wenzake )
11. Farid Musa ( ambaye 99% ya Marafiki zake wa Karibu hasa Wachezaji ni wa Simba SC na muda wowote anatua Msimbazi )

Na kama Kocha Ndayiragije ukiamua Kufanya 'Mabadiliko' basi ingiza Wachezaji hawa tu Wawili Said Ndemla na Muzamiru Yassin wa Yanga SC NO.
Kutokana na hizi mentality zenu hizi ndiyo maana mimi natamani sana hivi vilabu 2 Vyura FC & Mbumbumbu SC vife na kupotezwa kabisa kutoka katika ulimwengu wa soka nchini ili Taifa Stars ianze kubeba ndoo za Afcon na kuwa regular participant kwenye WC finals.
 
Sizungumzii walio enda TRIALS. Nazungumzia watu kama wakina Maka Edward, Yohana Mkomola, Saimon Msuva .Hahahaha
Akili zako zinakutosha,kichuya kacheza Enpi ya misri msimu mzima,salamba kaenda south Africa msimu mzima hizo ni trial?

Sijazungumzia miaka mi4 nyuma ambapo mwinyi kazimoto,Lyanga na Maguli
 
Kwa ule uchochoro alio ujenga Kapombe Jana.

Kwa kitendo cha Manula kudaka miguu badala ya Achour.

Ni kweli hawawezi kukosa timu ya kuchezea huko Ulaya hasa maeneo ya nchi za Scandinavia.
kapombe jana kaangushwa sana na msuva hakumsaidia kukaba ila zimbwe kafanya kazi sana boko nampongeza kwenye kukaba mana kule mbele mipira ilikuwa haifiki atleast kasaidia defence,manula hamna la kulalamika man of the match,nyoni kacheza poa sana,mkude na wenzae katikati wamevurunda
 
Akili zako zinakutosha,kichuya kacheza Enpi ya misri msimu mzima,salamba kaenda south Africa msimu mzima hizo ni trial?

Sijazungumzia miaka mi4 nyuma ambapo mwinyi kazimoto,Lyanga na Maguli

Okwi, Abdu Banda, Matola, Dany Mrwanda, Haruna Moshi n............
 
Jana kaweka vibabu vipaki bus..jumanne anaanza Feisal mwenye dimba lake amwage marashi ya karafuu
Kila mwenye kujua Soka vyema na kabahatika pia kulicheza huwezi kutompanga Jonas Mkude na ukampanga 'Mla Halua' Feisal Salum. Hujishtukii?
 
Jamaa wewe Leo umeleta mada ya kijinga kabisa kuwahi kutokea kwenye jukwaa hili.

Kama kweli uliangalia mpira Jana bila mihemko ya Simba na Yanga utakubaliana nami kuwa sehemu ya viungo Haikuwa inaonekana Kazi yake, pia Mabeki ukimtoa Nyoni walio baki wote Walikuwa wanacheza kwa mtero mkubwa na kuwafanya jamaa wapeane pasi Hadi ndani ya box.

Ukija kwa Manula naweza kusema mwanzoni alianza kwa kupanic na pressure kubwa Hadi kupelekea kusababisha penati isiyo ya lazima.(Nashukru kipindi cha pili watu wa saikolojia walimuweka sawa akawa mchezoni).

Note; Kwa kiwango Cha wachezaji wetu Hawa Basi tutegemee michuano ya klabu bingwa ikaanza kuwa tunakula tano na kuendelea.
Heshimu Mawazo ya wengine pia uwepo hapa Jamvini 'Mpuuzi' Wewe. Baki na unachokiamini na niache nami pia niamini kile nilichokiona ile Jana.
 
Back
Top Bottom