Taifa Stars ya Jana wangepangwa Wachezaji wengi ya Yanga SC tungefungwa hata Goli / Bao 15 Hongera Kocha

Kakuchapia / Kakukanyagia / Kakutindulia / Kakungonolia Demu wako au Mkeo labda? Ukisema 'humkubali' Mkude wenye Akili 'tutakudharau' sana.
ni bora acheze kiungo cha juu ingawa hajui hata kupiga pasi,mkabaji awe nyoni,angalau kama ni ugenini unapata sense ya kujiinda,wawa,onyango,nyoni na huyo mkude
 
punguza mastusi huwezi changia mada bila kero???????anakimbia kama ana majipu wenye miguu,anachelewa kukaba hajui ku tackle akikutana na wachezaji wenye kasi yeye ni kunyanyua miguu na kukita, he is a weak DM hamna kitu pale
Absolutely Hogwash!
 
Akili yenu mmeshikiwa na Manara.
 
Kwa maneno hayo tafsiri halisi simba ndiyo timu ya taifa siyo?
 
Kama una 'Ugomvi' wako na Jonas Gerald Mkude labda 'anakuchapia' Demu wako / Mkeo tafadhali mtafute tu ili umalizane nae na usilie lie hapa.
hakuna kitu pale weweeee unadhani tumesahau ulivyomkandia kotei ukaja kumsifia baadaye ,ifike tu december 15 aje kiungo mkabaji anayejua mpira
 
Watu wanaisifia Simba lakini kiukweli anaestahili Kongole ni Azam Fc katika timu iliyoanza Tunisia ni wachezaji wawili tu! Mkude na Mwamnyeto ndo hawajapitia Azam waliobaki wote wamepitia Azam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…