Taifa Stars Yaichapa Guinea ya Ikweta 2 - 1

Taifa Stars Yaichapa Guinea ya Ikweta 2 - 1

Wewe una mapepo, nakushauri uende kuombewa.

Siamini uwepo wa mpumbavu yeyote aitwae mungu au shetani!

Wewe ndio unaamini ujinga kama huo!

Ni upumbavu kudhani kila mtu duniani anaamini ukiaminicho by default!
 
Watu kama wewe ndio mnafanya upinzani waendelee kupoteza ushawishi,
Hivi capacity ya ule uwanja ni ngapi?
Watanzania wote wanaenea ule uwanja?
Ulikuwepo jana uwanjani?
Kama hujaenda uwanjani basi hata na picha na videos hujaona?
Chuki zako na serikali zinakupeleka vibaya sana,
Unajikuta kuandika upuuzi hapa ili uonekane una andika cha maana kumbe ni bonge la mshamba tu ambaye kichwa chake kimejaa chuki,
Alafu eti unasema wanajaa kwa takwimu zipi [emoji23][emoji23][emoji23] kama hujui kusoma hata video na picha huzioni.

Video ndio takwimu?

Punguza ukiazi!
 
Hujawah peleka hata carton ya maji...unataka na wew uwe na team??

Mnaopeleka carton za maji ni nyie CCM ndio maana team ni yenu!

Hamna mtu kaing’ang’ania,nilikua na-state the obvious kwamba ni yenu!

Shida ni nini wewe “mwalimu”?

Mshahara ushapanda?I guess no,na will never upande!

Oh yeah,I see!
 
Ndio mwenye timu,yeye na ccm na serikali takatifu ya awamu ya tano!

Ndio ilivyo!

Ndio maana timu ya taifa imekua inachukiwa this time than any other time in history!

Shida ndio hiyo!

Tatizo watu mmejaa unafiki mnajifanya hamuoni!

Acha uongo we peke yako ndo unaichukia,timu inachukiwa huku uwanja unajaa full

Hatuendi hivyo jamaa,sie wote hatuipendi ccm lakini kuna mambo hayahusiani na ccm wala chadema
 
Acha uongo we peke yako ndo unaichukia,timu inachukiwa huku uwanja unajaa full

Hatuendi hivyo jamaa,sie wote hatuipendi ccm lakini kuna mambo hayahusiani na ccm wala chadema

Naichukia pekee yangu thats factually not true!

Na uwanja hata kama ulijaa ni 60,000 people ambayo ni 1% ya watu milion 60 nchi nzima!

Asilimia 98% iliyobaki una uhakika gani yooote inapenda CCM Stars?

Y’all niggaz are liers!

Wewe ndie yule Papi Chulo wa Tweeter?Such a gay name!
 
Naichukia pekee yangu thats factually not true!

Na uwanja hata kama ulijaa ni 60,000 people ambayo ni 1% ya watu milion 60 nchi nzima!

Asilimia 98% iliyobaki una uhakika gani yooote inapenda CCM Stars?

Y’all niggaz are liers!

Wewe ndie yule Papi Chulo wa Tweeter?Such a gay name!
Wewe ni hater hiyo ni fact,una tatizo jamaa
Kwa hiyo unataka watu million 60 wote wajae uwanjani!!?? ..shiit
Papi chulo ni spanish-american slang,go search the meaning....otherwise keep hating!
 
Wewe ni hater hiyo ni fact,una tatizo jamaa
Kwa hiyo unataka watu million 60 wote wajae uwanjani!!?? ..shiit
Papi chulo ni spanish-american slang,go search the meaning....otherwise keep hating!

Mimi hater ndio kwa vitu nisivyo vipenda!

Na wewe ni hater somewhere pia!

To you Im a hater,na wewe kwangu ni hater the same way!

Wewe kuchukua “video” eti ndio takwimu kwanza ni truncated view!

Pili kuchukua ujazo wa uwanja ndio generalization ya nchi nzima inaonesha wewe ni mharishaji!

Tunao ichukia “CCM Stars” tupo,tuwe wengi au wachache nobody knows for sure maana hakuna alifanya takwimu!

Sasa wewe kusema anaechukia Taifa Stars iliyogeuzwa branch ya CCM nipo mwenyewe ni premature ejaculation!
 
Kwahiyo unapita online na ku-diagnose random people na ku-declare their mental health online?

Great great!

Hold my beer!
My guy, you're not ok, your hatred towards any accomplishment of Tz under current regime, depicts that.
Sasa mpaka 2025 ukiwa hivyo hivyo, it is to your detrimental.
 
Video ndio takwimu?

Punguza ukiazi!
Aisee wewe mjinga kweli yaani unahitaji takwimu kuwaangalia mashabiki waliojazana uwanjani 😂😂😂
Kama nikivyokuambia watu kama wewe ndio mnafanya upinzani waendelee kupoteza ushawishi.
 
Aisee wewe mjinga kweli yaani unahitaji takwimu kuwaangalia mashabiki waliojazana uwanjani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nikivyokuambia watu kama wewe ndio mnafanya upinzani waendelee kupoteza ushawishi.

Takwimu ni video?

Toa takwimu compared na the rest of the country’s population!

Stars ilipofungwa hivi karibuni ilikua ni sherehe nchi nzima,and this terrified the shit outta y’all!
 
My guy, you're not ok, your hatred towards any accomplishment of Tz under current regime, depicts that.
Sasa mpaka 2025 ukiwa hivyo hivyo, it is to your detrimental.

Sipendi anything from the regime!

Usinipangie!

Na usitake tufanane!

Mimi kuichukia serikali ni swala langu binafsi halikuhusu na sitaki ushauri!

2025 anaingia mwingine,anafuta kila kitu na mawe lazima ahifadhiwe anapostahili!

Atakae kuja 2025 humjui,simjui na wala mawe hamjui!

Sasa,endeleeni kuua watu na kuteka na kupiga watu risasi!
 
Takwimu ni video?

Toa takwimu compared na the rest of the country’s population!

Stars ilipofungwa hivi karibuni ilikua ni sherehe nchi nzima,and this terrified the shit outta y’all!
Ulisema watu hawajai uwanjani kuangalia Tanzania ikicheza, nikakuambia hujaona video cha kushangaza unasema eti takwimu ni video 😂😂😂
Yaani unaona kabisa mashabiki wamejaa uwanjani alafu unabisha kutokana na chuki za kishamba,
Kwa taarifa yako mwaka huu pekee soka la Tanzania limepata mafanikio makubwa mnoo,
Tulianza kwa kufuzu afcon,
Tumefuzu tena CHAN hapo majuzi kwa kuifunga kenya magoli ya kutosha,
Timu yetu ya wanawake u20 imebeba kombe la cecafa tena walikuwa walamealikwa tu,
Timu yetu ya vijana wamebeba kombe la cecafa hapo uganda kwa kuifunga timu ya kenya Pia tukatoa Mchezaji bora na mfungaji bora,
Pia cecafa women imeanza jana na tulipiga mtu za kutosha 😂😂😂
Usisahau pia sisi ni bingwa mtetezi na tumebeba hilo kombe mara mbili mfufulizo,
Kwa hiyo hizo chuki zako za kusema timu zetu hazipendwi bakiza huko huko.

 
Ulisema watu hawajai uwanjani kuangalia Tanzania ikicheza, nikakuambia hujaona video cha kushangaza unasema eti takwimu ni video [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani unaona kabisa mashabiki wamejaa uwanjani alafu unabisha kutokana na chuki za kishamba,
Kwa taarifa yako mwaka huu pekee soka la Tanzania limepata mafanikio makubwa mnoo,
Tulianza kwa kufuzu afcon,
Tumefuzu tena CHAN hapo majuzi kwa kuifunga kenya magoli ya kutosha,
Timu yetu ya wanawake u20 imebeba kombe la cecafa tena walikuwa walamealikwa tu,
Timu yetu ya vijana wamebeba kombe la cecafa hapo uganda kwa kuifunga timu ya kenya Pia tukatoa Mchezaji bora na mfungaji bora,
Pia cecafa women imeanza jana na tulipiga mtu za kutosha [emoji23][emoji23][emoji23]
Usisahau pia sisi ni bingwa mtetezi na tumebeba hilo kombe mara mbili mfufulizo,
Kwa hiyo hizo chuki zako za kusema timu zetu hazipendwi bakiza huko huko.



Yara yara yara yarah

Blah blah blah blah

“CCM Stars” is not Taifa Stars that used to be!

Get that in your dome!

Peace out!
 
Back
Top Bottom