Katika kundi la nne,
Timu ya taifa ya Tanzania inaongoza katika kundi hilo!
Baada ya leo kutoa droo ya bila kwa bila na Msumbiji.
Kwa hiyo tuna point 4 kibindoni!
Hongera timu ya taifa!!
Senegal imefungwa goli 1 na Burkina faso.
Msimamo. Points.
Taifa stars 4
Senegal 3
Burkina faso. 3
Msumbiji 1
Timu ya taifa ya Tanzania inaongoza katika kundi hilo!
Baada ya leo kutoa droo ya bila kwa bila na Msumbiji.
Kwa hiyo tuna point 4 kibindoni!
Hongera timu ya taifa!!
Senegal imefungwa goli 1 na Burkina faso.
Msimamo. Points.
Taifa stars 4
Senegal 3
Burkina faso. 3
Msumbiji 1