Taifa Stars yatolewa CHAN baada ta kutoka suluhu na Amavubi Stars ya Rwanda

Taifa Stars yatolewa CHAN baada ta kutoka suluhu na Amavubi Stars ya Rwanda

Timu ya Taifa Stars imeyaaga mashindano ya CHAN jioni hii baada ya kutoka suluhu ya magoli 0-0 na Timu ya Taifa ya Rwanda(Amavubi Stars).

Kikosi cha Taifa Stars kilichoanza leo dhidi ya Amavubi

1. Aishi Manula
2. Boniphace Maganga
3. Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Salim Mbonde
6. Himid Mao
7. Simon Msuva
8. Mzamiru Yassin
9. John Bocco
10. Raphael Daudi
11. Shiza Kichuya

Kikosi cha akiba

12. Said Mohamed
13. Hassan Kessy
14. Nurdin Chona
15. Salimin Hoza
16. Said Ndemla
17. Joseph Mahundi
18. Stamili Mbonde
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah! angalau wamekufa kiume.
 
Napendekeza yafuatayo.
1. Timu ya taifa iwe inaweka kambi jeshini ili kutatua tatizo la wao kukosa uzalendo.
2. Baada ya kambi aitwe hakimu waapishwe kulitumikia taifa kwa akili zao zote na uwezo wao wote.
3. Serikali nayo ijifunge kuwalipa vizuri wakifanya vizuri,huu uwe ni mkataba kabisa wa kisheria.
4. Wachezaji wa timu ya taifa wapimwe kiwango cha chakula wanachokula maana wengine wamelegea kama mlegea
 
Back
Top Bottom