Taifa teule na mataifa

Tukiamua kwa hakika tunaweza ku track historia ya mtu mweusi asili yetu bila kutegemea maandiko na maandishi ya mtu mweupe.. Kama ngozi ya kitimoto
 
Something long the creation n recreation happened in between... May be something very dreadful
 
How about native Americans?
 
Na kama kuna watu wanamkataa yesu kwa nguvu zote basi ni waisrael. Sijui kwanini bado wanaqualify kuwa taifa teule then watu wa pale Mbeya waliokoka mkoa mzima wanakuwa wa mataifa? Inanivuruga kichwa hii!

Its injustice!
Na kwa asili waisrael ni wabishi... Kumbuka safari ya miaka 40 jangwani.. Hata leo hii ukiamua kutembea kwa miguu ni safari ya siku chache tuu
 
Nepotism
 


Taifa Teule la Mungu my azz....

Waulize Germans waliwafanya nini?

Mbona huyo mungu wako baguzi hakuja kuwaokoa?

Lunatics tu!
 
coz nimerudia kitabu cha mithali Mara nne lakini hiyo ya china nina mashaka nayo....
Nimecheki ni kweli sijaona ila kuna andiko lianataja China ama mashariki ya mbali... Kitu kama hicho.....
 
Nimecheki ni kweli sijaona ila kuna andiko lianataja China ama mashariki ya mbali... Kitu kama hicho.....
Mkuu labda umechanganya na ile hadithi ya Mtume Muhammad [SAW] aliposema

"Itafuteni elimu ijapokuwa iko katika miji ya China, kwani kutafuta elimu ni wajibu (lazima) juu ya kila Mwislamu"

Akihimiza waumini waitafute elimu hata kama ipo mbali kiasi gani.
 

Sawa kabisa tena kabisaa!!!!!
Biblia haijaandika kuhusu China
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…