Tairi gani za kichina zina afadhali?

Zipo mbona huku kariakoo
 
Mchina Tumia 1. Goodride, 2. Double Star au 3. Linglong
Lkn hapo kati ya Mchina zipo tyre za South Afrika na Japan zinaitwa DUNLOP ni nzuri pia.
Nimetumia sana Linglong na sijawahi kujutia kabisa.
 
Funga Used za japan zinazotka Dubai kwa 45000 utatembelea hata miezi 6 kama uchumi haujakaa sawa ila kama vizuri chana mfuko uchukue Bridgestone.
Wapi mkuu zinapatikana hizo za Dubai ?Mimi Niko ARUSHA mkuu
 
natafuta Dunlop 225 / R65 18.

Nitonye zilipo nikafunge.
 
Hivi kama zile zenye kashata kubwa kubwa R16 au 17 kuna used? Huwa ni how much?
 
Sasa mkuu si bora uchukue tu hiyo Michelin mbona tofauti ya bei ni ndogo sana hapo.
 
Zile zilikuwa zinahimili joto kutoka kwenye rim ambalo linasababishwa na mwendo mkali lkn sasa hivi hata zile zetu general tyre zingekuwepo zingefaa maana ni mwendo wa kobe.
Kwamba general tyres zilikuwa mbovu ama sijaelewa?
 
Unazo size 255/55/18 used from Dubai au nchi nyingine??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…