Zipo mbona huku kariakooTairi za kawaida nazotumia kwa miaka yote ni Goodride.....hazijawahi nisumbua na naenda safari ndefu mara kwa mara. Tairi nyingine za kawaida nazotumia pia ni "Infinity", hizi tairi niliweka 2016 na mpk leo nazitumia..anaejua zinapopatikana anijuze maana kuna wakati niliulizia sikuzipata huku mikoani. Sijawahi kutumia tairi za bei "mbaya" zaidi ya Dunlop iliyokuja na gari,nilitembelea mpk uzi zikatokeza,nikazivua na kufunga Infinity. Wakati wa kununua huwa nazingatia sana mwaka iliyotengenezwa na kununua kwa dealers. Cheers
Nimetumia sana Linglong na sijawahi kujutia kabisa.Mchina Tumia 1. Goodride, 2. Double Star au 3. Linglong
Lkn hapo kati ya Mchina zipo tyre za South Afrika na Japan zinaitwa DUNLOP ni nzuri pia.
asante...nikija huko mkoani ntazitafuta!Binafsi nazirecommendZipo mbona huku kariakoo
Bonyeza nyama ya pembeni hio ukiona laini jua unanyooshwa! Tyre ya mjapani ina ukuta mgumu wa pembeni
Dunlop 225/70r16 unauzaje?Inategemea na mtu ba mtu kuna wangapi humu nimewauzia na hajaleta malalamiko?
Sina hiyo m ninayo 215/70/R16 nauza 260000Dunlop 225/70r16 unauzaje?
Safi mkuu umemjibu vizuri sana bossMchina Tumia 1. Goodride, 2. Double Star au 3. Linglong
Lkn hapo kati ya Mchina zipo tyre za South Afrika na Japan zinaitwa DUNLOP ni nzuri pia.
Wapi mkuu zinapatikana hizo za Dubai ?Mimi Niko ARUSHA mkuuFunga Used za japan zinazotka Dubai kwa 45000 utatembelea hata miezi 6 kama uchumi haujakaa sawa ila kama vizuri chana mfuko uchukue Bridgestone.
PichaSina hiyo m ninayo 215/70/R16 nauza 260000
Kulika upande kunaweza sababishwa na hasa Kama gari yako Ina matege ya ndani.Dunlop ina tabia ya kulika upande mmoja hasa kwa ndani ...nyaya kama zote nje nje unasubiria bust la maana tu[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu si bora uchukue tu hiyo Michelin mbona tofauti ya bei ni ndogo sana hapo.Ni kampuni gani ya tairi za china ambayo ni nzuri kuzidi nyingine za china, nimeulizia BF GOODRICH y usa/uk Rim 15,ni sh 280,000/=kwa pisi moja, michelin 180,000/, goodyear 170,000/=, mchina 120,000/=hizo zote ni saizi 15, mchina ni maji usipo kunywa utaoga tu, hata kufulia basi.
Tatizo beiKuna hizi wanaita GOODYEAR zipoje?
Kwamba general tyres zilikuwa mbovu ama sijaelewa?Zile zilikuwa zinahimili joto kutoka kwenye rim ambalo linasababishwa na mwendo mkali lkn sasa hivi hata zile zetu general tyre zingekuwepo zingefaa maana ni mwendo wa kobe.
Ndio zenyewe sasa hizo mkuu.Tyre used sijawai zitumia, naziogopa kama ukoma